Von Bismarck
JF-Expert Member
- Jul 11, 2018
- 3,890
- 8,647
Wewe haupo sawa kiakiliMshahara wa Nesi mwenye Diploma ni mara 2 ya mshahara wa Mwalimu mwenye Degree.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe haupo sawa kiakiliMshahara wa Nesi mwenye Diploma ni mara 2 ya mshahara wa Mwalimu mwenye Degree.
Unazungumuzia mshahara au marupurupu?Ndugu mwalimu mwenye degree huamini kuwa nesi wa Muhimbili au Mloganzila mwenye Diploma kakuzidi kipato? Nje ya mshahara wewe unapata hela ya kusimamia mtihani, sensa na uchaguzi.
Kama huamini kuzidiwa mshahara na mtu kama nesi ukiambiwa mwanajeshi aliyeishia form four akala four amekuzidi maslahi utaamini?
Ukiambiwa Dereva au mhudumu wa chai NSSF, TRA, PSPF, TANROADS n.k wamekuzidi mshahara utaamini?
Manesi endeleeni kujidanganyaNdugu mwalimu mwenye degree huamini kuwa nesi wa Muhimbili au Mloganzila mwenye Diploma kakuzidi kipato? Nje ya mshahara wewe unapata hela ya kusimamia mtihani, sensa na uchaguzi.
Kama huamini kuzidiwa mshahara na mtu kama nesi ukiambiwa mwanajeshi aliyeishia form four akala four amekuzidi maslahi utaamini?
Ukiambiwa Dereva au mhudumu wa chai NSSF, TRA, PSPF, TANROADS n.k wamekuzidi mshahara utaamini?
Mwalimu wako wa hesabu ulimuelewa kweli!?watu wanapenda kudanganya watu humu
mwalimu degree TGTS D - 710k
nurse diplome TGHS B - 680k
nurse ana advantage hapo za on call allowance na seminars kibao
Ndugu wadau, kunakijana kapata admmsiion mbilihadi sasa,, 1.BSC with Education--St Johns University-Dodoma na 2. Diploma in Nursing and Mildwife-Kibondo school of nusring,
Huyu binti alimaliza CBG na division 3 ya EEC. Jamana kwa uzoefu na hali ya maisha ya sasa na kwa uzoefu wa kozi hizo husika, unaweza kumushauli asome ipi kati ya hizo. NB hiyo kozi ya bSC ataweza isoma kama akipata labda mkopo kwani uwezo wa kiuchumi kujisomesha hawezi.
Asante kwa kutoa ushauri
Atakuwa anaota ndoto za mchana..Manesi endeleeni kujidanganya
Kuna primary,secondary ,Advance ,college na university nichanganulie mishahara ya hao walimu kwa kila hizo sehemuNdugu mwalimu mwenye degree huamini kuwa nesi wa Muhimbili au Mloganzila mwenye Diploma kakuzidi kipato? Nje ya mshahara wewe unapata hela ya kusimamia mtihani, sensa na uchaguzi.
Kama huamini kuzidiwa mshahara na mtu kama nesi ukiambiwa mwanajeshi aliyeishia form four akala four amekuzidi maslahi utaamini?
Ukiambiwa Dereva au mhudumu wa chai NSSF, TRA, PSPF, TANROADS n.k wamekuzidi mshahara utaamini?
Mshahara wa Nesi mwenye Diploma ni mara 2 ya mshahara wa Mwalimu mwenye Degree.
Nitajie mwanajesh aliyepata four form four anayenizidi mshaharaNdugu mwalimu mwenye degree huamini kuwa nesi wa Muhimbili au Mloganzila mwenye Diploma kakuzidi kipato? Nje ya mshahara wewe unapata hela ya kusimamia mtihani, sensa na uchaguzi.
Kama huamini kuzidiwa mshahara na mtu kama nesi ukiambiwa mwanajeshi aliyeishia form four akala four amekuzidi maslahi utaamini?
Ukiambiwa Dereva au mhudumu wa chai NSSF, TRA, PSPF, TANROADS n.k wamekuzidi mshahara utaamini?
Mambo ya Bongo magumu sana,Nurse Dip na Co Dip mishahara yao kwa Serikali inacheza sawa na Degree nyingi za miaka 3 kwa wale wanaoanza kazi.watu wanapenda kudanganya watu humu
mwalimu degree TGTS D - 710k
nurse diplome TGHS B - 680k
nurse ana advantage hapo za on call allowance na seminars kibao
Ivi mwaka huu hamjasombwa kweny malori kupelekw jkt mkalipwe elfu 50 kwa mwezi makulutaNdugu mwalimu mwenye degree huamini kuwa nesi wa Muhimbili au Mloganzila mwenye Diploma kakuzidi kipato? Nje ya mshahara wewe unapata hela ya kusimamia mtihani, sensa na uchaguzi.
Kama huamini kuzidiwa mshahara na mtu kama nesi ukiambiwa mwanajeshi aliyeishia form four akala four amekuzidi maslahi utaamini?
Ukiambiwa Dereva au mhudumu wa chai NSSF, TRA, PSPF, TANROADS n.k wamekuzidi mshahara utaamini?
Nipe uthibitisho ,dip iwe juu kulko deg haitakuja tokeaMambo ya Bongo magumu sana,Nurse Dip na Co Dip mishahara yao kwa Serikali inacheza sawa na Degree nyingi za miaka 3 kwa wale wanaoanza kazi.
Mfano Nusre huyo akichukua na Anaesthesisa course ya one year.Akikaaa tu vyema kwa Hospital zisizo na ubabaishaji nakunja kama 1M na kuendelea.
Sasa wew uongelea Nurse wa MNH na Mloganzila.( Ambapo kupata ajira hapo chance ni ndogo.Ndugu mwalimu mwenye degree huamini kuwa nesi wa Muhimbili au Mloganzila mwenye Diploma kakuzidi kipato? Nje ya mshahara wewe unapata hela ya kusimamia mtihani, sensa na uchaguzi.
Kama huamini kuzidiwa mshahara na mtu kama nesi ukiambiwa mwanajeshi aliyeishia form four akala four amekuzidi maslahi utaamini?
Ukiambiwa Dereva au mhudumu wa chai NSSF, TRA, PSPF, TANROADS n.k wamekuzidi mshahara utaamini?
Okay vizuri.Asante Emaga kwa ushauri. Karo na matumizi ya nursing serikalini jmla haizidi 1.Million kwa mwaka kwa mjibu wa join instruction gharama zote hazizidi million.. offcourse leo kapata admission ya Clinical officer Sengerema College ambayo gahrama ni million 4 kwa mwaka ambayo wazazi hawawezi, so option ni labda Bsc Education kama atapata mkopo au asome nursing and mildwife ambayo ndo Gharama kwa mwaka haizidi 1 Million. Ndo maana tukauliza kati ya Bsc Education na nursing ipi bora kumtoa mtoto
Sahihi kabisa.Gharama za Nursing kwa vyuo vya Serikali hazizidi 1,350,000/=, pamoja na hizo gharama kuwa ndogo km uonavyo Chakula ni kujitegemea.
Punguza uongo kijana.Mshahara wa Nesi mwenye Diploma ni mara 2 ya mshahara wa Mwalimu mwenye Degree.
Ila kula ni kujitegemea miaka yote hiyo unayosema cheap ni tuition fee tu.Sahihi kabisa.
Ila kwa kozi yake ya nursing gharama ni chini kidogo ukilinganisha na Clinical officer. Difference haizidi laki 2
Unazungumzia muhimbili na mlonganzila hao Wana mishahara yao specificNdugu mwalimu mwenye degree huamini kuwa nesi wa Muhimbili au Mloganzila mwenye Diploma kakuzidi kipato? Nje ya mshahara wewe unapata hela ya kusimamia mtihani, sensa na uchaguzi.
Kama huamini kuzidiwa mshahara na mtu kama nesi ukiambiwa mwanajeshi aliyeishia form four akala four amekuzidi maslahi utaamini?
Ukiambiwa Dereva au mhudumu wa chai NSSF, TRA, PSPF, TANROADS n.k wamekuzidi mshahara utaamini?
Endelea kuota.Nipe uthibitisho ,dip iwe juu kulko deg haitakuja tokea
Mambo ya Bongo magumu sana,Nurse Dip na Co Dip mishahara yao kwa Serikali inacheza sawa na Degree nyingi za miaka 3 kwa wale wanaoanza kazi.
Mfano Nusre huyo akichukua na Anaesthesisa course ya one year.Akikaaa tu vyema kwa Hospital zisizo na ubabaishaji nakunja gf
Mm sioti jenga hojaEndelea kuota.