BSC with education vs diploma in nursing and mildwife

BSC with education vs diploma in nursing and mildwife

Ndugu mwalimu mwenye degree huamini kuwa nesi wa Muhimbili au Mloganzila mwenye Diploma kakuzidi kipato? Nje ya mshahara wewe unapata hela ya kusimamia mtihani, sensa na uchaguzi.

Kama huamini kuzidiwa mshahara na mtu kama nesi ukiambiwa mwanajeshi aliyeishia form four akala four amekuzidi maslahi utaamini?

Ukiambiwa Dereva au mhudumu wa chai NSSF, TRA, PSPF, TANROADS n.k wamekuzidi mshahara utaamini?
Unazungumuzia mshahara au marupurupu?
 
Ndugu mwalimu mwenye degree huamini kuwa nesi wa Muhimbili au Mloganzila mwenye Diploma kakuzidi kipato? Nje ya mshahara wewe unapata hela ya kusimamia mtihani, sensa na uchaguzi.

Kama huamini kuzidiwa mshahara na mtu kama nesi ukiambiwa mwanajeshi aliyeishia form four akala four amekuzidi maslahi utaamini?

Ukiambiwa Dereva au mhudumu wa chai NSSF, TRA, PSPF, TANROADS n.k wamekuzidi mshahara utaamini?
Manesi endeleeni kujidanganya
 
watu wanapenda kudanganya watu humu

mwalimu degree TGTS D - 710k
nurse diplome TGHS B - 680k

nurse ana advantage hapo za on call allowance na seminars kibao
Mwalimu wako wa hesabu ulimuelewa kweli!?
 
Ndugu wadau, kunakijana kapata admmsiion mbilihadi sasa,, 1.BSC with Education--St Johns University-Dodoma na 2. Diploma in Nursing and Mildwife-Kibondo school of nusring,
Huyu binti alimaliza CBG na division 3 ya EEC. Jamana kwa uzoefu na hali ya maisha ya sasa na kwa uzoefu wa kozi hizo husika, unaweza kumushauli asome ipi kati ya hizo. NB hiyo kozi ya bSC ataweza isoma kama akipata labda mkopo kwani uwezo wa kiuchumi kujisomesha hawezi.

Asante kwa kutoa ushauri

Afanye kile anaweza hakuna uhakika wa ajira haijalishi umesoma kitu gani?
Ni jukumu lako kumuanda kama unapesa akasome kile utakacho kuja kusimamia
Unaweza kumfungulia duka la dawa, maabara .n.k
Acha na hizo habari za kuchaguliwa mwanao au jamaa yako akasomee nini
 
Ndugu mwalimu mwenye degree huamini kuwa nesi wa Muhimbili au Mloganzila mwenye Diploma kakuzidi kipato? Nje ya mshahara wewe unapata hela ya kusimamia mtihani, sensa na uchaguzi.

Kama huamini kuzidiwa mshahara na mtu kama nesi ukiambiwa mwanajeshi aliyeishia form four akala four amekuzidi maslahi utaamini?

Ukiambiwa Dereva au mhudumu wa chai NSSF, TRA, PSPF, TANROADS n.k wamekuzidi mshahara utaamini?
Kuna primary,secondary ,Advance ,college na university nichanganulie mishahara ya hao walimu kwa kila hizo sehemu
 
Mshahara wa Nesi mwenye Diploma ni mara 2 ya mshahara wa Mwalimu mwenye Degree.

Ndugu mwalimu mwenye degree huamini kuwa nesi wa Muhimbili au Mloganzila mwenye Diploma kakuzidi kipato? Nje ya mshahara wewe unapata hela ya kusimamia mtihani, sensa na uchaguzi.

Kama huamini kuzidiwa mshahara na mtu kama nesi ukiambiwa mwanajeshi aliyeishia form four akala four amekuzidi maslahi utaamini?

Ukiambiwa Dereva au mhudumu wa chai NSSF, TRA, PSPF, TANROADS n.k wamekuzidi mshahara utaamini?
Nitajie mwanajesh aliyepata four form four anayenizidi mshahara
 
watu wanapenda kudanganya watu humu

mwalimu degree TGTS D - 710k
nurse diplome TGHS B - 680k

nurse ana advantage hapo za on call allowance na seminars kibao
Mambo ya Bongo magumu sana,Nurse Dip na Co Dip mishahara yao kwa Serikali inacheza sawa na Degree nyingi za miaka 3 kwa wale wanaoanza kazi.
Mfano Nusre huyo akichukua na Anaesthesisa course ya one year.Akikaaa tu vyema kwa Hospital zisizo na ubabaishaji nakunja kama 1M na kuendelea.
 
Ndugu mwalimu mwenye degree huamini kuwa nesi wa Muhimbili au Mloganzila mwenye Diploma kakuzidi kipato? Nje ya mshahara wewe unapata hela ya kusimamia mtihani, sensa na uchaguzi.

Kama huamini kuzidiwa mshahara na mtu kama nesi ukiambiwa mwanajeshi aliyeishia form four akala four amekuzidi maslahi utaamini?

Ukiambiwa Dereva au mhudumu wa chai NSSF, TRA, PSPF, TANROADS n.k wamekuzidi mshahara utaamini?
Ivi mwaka huu hamjasombwa kweny malori kupelekw jkt mkalipwe elfu 50 kwa mwezi makuluta
 
Mambo ya Bongo magumu sana,Nurse Dip na Co Dip mishahara yao kwa Serikali inacheza sawa na Degree nyingi za miaka 3 kwa wale wanaoanza kazi.
Mfano Nusre huyo akichukua na Anaesthesisa course ya one year.Akikaaa tu vyema kwa Hospital zisizo na ubabaishaji nakunja kama 1M na kuendelea.
Nipe uthibitisho ,dip iwe juu kulko deg haitakuja tokea
 
Ndugu mwalimu mwenye degree huamini kuwa nesi wa Muhimbili au Mloganzila mwenye Diploma kakuzidi kipato? Nje ya mshahara wewe unapata hela ya kusimamia mtihani, sensa na uchaguzi.

Kama huamini kuzidiwa mshahara na mtu kama nesi ukiambiwa mwanajeshi aliyeishia form four akala four amekuzidi maslahi utaamini?

Ukiambiwa Dereva au mhudumu wa chai NSSF, TRA, PSPF, TANROADS n.k wamekuzidi mshahara utaamini?
Sasa wew uongelea Nurse wa MNH na Mloganzila.( Ambapo kupata ajira hapo chance ni ndogo.

Ongelea huku Kwenye hospitali za wilaya na vituo vya afya.
 
Asante Emaga kwa ushauri. Karo na matumizi ya nursing serikalini jmla haizidi 1.Million kwa mwaka kwa mjibu wa join instruction gharama zote hazizidi million.. offcourse leo kapata admission ya Clinical officer Sengerema College ambayo gahrama ni million 4 kwa mwaka ambayo wazazi hawawezi, so option ni labda Bsc Education kama atapata mkopo au asome nursing and mildwife ambayo ndo Gharama kwa mwaka haizidi 1 Million. Ndo maana tukauliza kati ya Bsc Education na nursing ipi bora kumtoa mtoto
Okay vizuri.
Kama wazazi wanamudu hiyo gharama ya nursing ni vizuri. Nakutaka familia mmpe Uhuru na mtoto wa kuchagua nini anapenda.
NB ada ya nursing sio hiyo tu uliyosema kumbuka kuna michango ya Nacte mingi mfano nacte registration 15,000/=, mtihani wa semister 150,000/=, uniform bila kusahau gharama za chakula kila siku.
Nina uzoefu kidogo na hivyo vyuo nina mwanafunzi pia anaenda huko diploma
 
Gharama za Nursing kwa vyuo vya Serikali hazizidi 1,350,000/=, pamoja na hizo gharama kuwa ndogo km uonavyo Chakula ni kujitegemea.
 
Gharama za Nursing kwa vyuo vya Serikali hazizidi 1,350,000/=, pamoja na hizo gharama kuwa ndogo km uonavyo Chakula ni kujitegemea.
Sahihi kabisa.
Ila kwa kozi yake ya nursing gharama ni chini kidogo ukilinganisha na Clinical officer. Difference haizidi laki 2
 
Sahihi kabisa.
Ila kwa kozi yake ya nursing gharama ni chini kidogo ukilinganisha na Clinical officer. Difference haizidi laki 2
Ila kula ni kujitegemea miaka yote hiyo unayosema cheap ni tuition fee tu.
 
Ndugu mwalimu mwenye degree huamini kuwa nesi wa Muhimbili au Mloganzila mwenye Diploma kakuzidi kipato? Nje ya mshahara wewe unapata hela ya kusimamia mtihani, sensa na uchaguzi.

Kama huamini kuzidiwa mshahara na mtu kama nesi ukiambiwa mwanajeshi aliyeishia form four akala four amekuzidi maslahi utaamini?

Ukiambiwa Dereva au mhudumu wa chai NSSF, TRA, PSPF, TANROADS n.k wamekuzidi mshahara utaamini?
Unazungumzia muhimbili na mlonganzila hao Wana mishahara yao specific

Na kupata ajira huko sio rahisi

Zungumzia nesi wa namtumbo hospital analipwaje
 
Back
Top Bottom