brigedia mafia
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 2,260
- 2,279
Waungwana leo kwenye pita pita yangu nilikutana na miongoni mwa washiriki wa BSS aliyekuwa miongoni mwa waliofanya vizuri (jina kapuni) akiwa kachoka sana mpaka nikamuonea huruma, sasa nikawa najiuliza hivi hili shindano lina manufaa gani? Kwa nini washiriki wengi hawafanikiwi na majina yao hufifia baada ya muda mfupi?
Tuchukulie mfano mtu kama Jumanne Idd mpaka leo hajulikani halipo alkadharika Walter Chilambo, Kayumba , AngelMarry Kato , Steven Lupenza, Nasibu Fonabo nk ni miongoni mwa vijana ambao wana uwezo mkubwa sana wa kuimba lakini cha ajabu hawafanikiwi kulinganisha na washiriki wengine kama vile Harmonize ingawa alitoka mapema na kuonekana si chochote leo hii katudhihirishia kwamba yeye ana uwezo gani
Si harmonize tu pia nina mdogo wangu nisingependa kumtaja jina kwa sababu zangu binafsi ,naye pia alitolewa kwa maneno ya shombo na Salma Jabir kwa kuambiwa hajui kuimba bora akafuge kuku ndio kazi anayoiweza lakini leo hii ni msanii mkubwa tu
Hawa ni baadhi ya washiriki wa bss ambao washapotea kwenye ramani ya mziki
huyu ni kayumba junior
huyu ni Nasibu Fonabo
huyu ni Favolii
huyu ni Stev Lupenza
Emmy Wimbo
Angermarry Kato
Frida Amani AKA queen fifi
Ujue muda mwingine mpaka nawaza, hivi hawa vijana wanafataga mpunga tu au? Maana huwa siwaoni kabisa shindano likiisha ,maana hupotea maziiiiiiima
Tuchukulie mfano mtu kama Jumanne Idd mpaka leo hajulikani halipo alkadharika Walter Chilambo, Kayumba , AngelMarry Kato , Steven Lupenza, Nasibu Fonabo nk ni miongoni mwa vijana ambao wana uwezo mkubwa sana wa kuimba lakini cha ajabu hawafanikiwi kulinganisha na washiriki wengine kama vile Harmonize ingawa alitoka mapema na kuonekana si chochote leo hii katudhihirishia kwamba yeye ana uwezo gani
Si harmonize tu pia nina mdogo wangu nisingependa kumtaja jina kwa sababu zangu binafsi ,naye pia alitolewa kwa maneno ya shombo na Salma Jabir kwa kuambiwa hajui kuimba bora akafuge kuku ndio kazi anayoiweza lakini leo hii ni msanii mkubwa tu
Hawa ni baadhi ya washiriki wa bss ambao washapotea kwenye ramani ya mziki
Ujue muda mwingine mpaka nawaza, hivi hawa vijana wanafataga mpunga tu au? Maana huwa siwaoni kabisa shindano likiisha ,maana hupotea maziiiiiiima