Bubujiko la mishara kwa walimu

Ranyau

Member
Joined
Jul 12, 2013
Posts
79
Reaction score
6
Naombeni kuulza kwa anayejua ukweli kuhusu mishara mipya ya walimu please naomba unisaidie. Setifikate ,diploma na degree , hawa wanaotoka nyuo nakuajiriwa.
 
Nyongeza ni 30000 tu,ualimu tena? Tafuta kazi nyingine ndugu hiyo siyo
 
Naombeni kuulza kwa anayejua ukweli kuhusu mishara mipya ya walimu please naomba unisaidie. Setifikate ,diploma na degree , hawa wanaotoka nyuo nakuajiriwa.

Kwa sasa Degree ni TGTS DI =532,000, DIP ni TGTS C1=370,000/= na certificate ni 270,000/=

Hii ni kabla ya mabadiliko ya mwezi huu wa 7
 
Nikosa kisheria kuweka mishara yaserikali hadharani,wajua hilo?
 
Vipi na nyongeza ya mishahara kwa bajeti mpya ya 2013/2014 ni sh,ngap?
 
Hilo kosa limeandkwa wap... Huo ni ufafanuz. Jibu la msingi. Mkuu JF we dare to speak openly
 
Akawe kama Alex Massawe??? Wewe ulifundishwa na nani na watoto wako watafundishwa na nani??

Rula, asante kwa busara yako kubwa. kama walimu wangelifanya kama Pilitoni anavyoshauri, yeye angelifundishwa na nai? Watoto wake. La muhimu ni kushauri namna ya kupigania haki zao na si maneno ya kejeli. Uharo mtupu!
 
Tgts B1 304000 TGTS C 432000 tgts d 585000, tgts E 768000 nakuendelea mishahara mipya july.
 
UKICHAGUA UALIMU UMEAMUA KUFA MASKINI, ingawa kuna siku naamin kuna mtu atasimama kuwatetea walimu kwan hata viongoz wa juu katika nchi hii hawaon kabisa maisha ya walimu, yaan hata certificate ya nursing inazidi degree ya ualimu!!! du! ama kwel aliyeshiba hamjui mwenye njaa!!
 
walimu wao wenyewe niwaoga mno!hawana nia dhabiti nambinu zakimsimamo imara zakuitaka serikali iwape mshahara unaofaa,woga wao ndio umaskini wao!hovyo sana miwalimu yatanzania,sijui kinawashinda nini kucopy nakupaste waliyofanya wenzao wakenya?mtakula vumbi lachaki nakuonewa hadi namadiwani kata hadi basi msipo amua kwadhati kujipigania kufa nakupona.endeleeni kusubiri huruma ya rahisi kiwete wenu muone!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…