Bubujiko la mishara kwa walimu

Tgts a1 296,000
tgts b1 344.000
tgts c1 432,500
tgts d1 589,000
tgts e1 769,000
tgts f1 1,003,000
tgts g1 1,320,000
tgts h1 1,734,000
tgts i1 2,415,000
 
Dah! Poleni waalimu wangu wapendwa,siku nikishika hatamu za madaraka lazima muishi maisha mazuri! Inaniuma sana yaan kanyongeza ka "nyanya" ndio wamewapa!? Mungu awatie nguvu katika maisha magumu mnayopitia
 
Walimu wenyewe hawana umoja.unategemea nin hapo?
 
ok, mm nasema kama ni Hivi, wazungu tutaendelea kuwa vibarua wao
 

acha kudanganya watu na kukatisha waalim tamaa
 

wewe naona akili zako zimefikia mwisho wa kufikiri : there is logic thats fallacy ! :kijana mwenye akili huwezi kuandika kejeli kama hizo! KAMA HUONI CHA KUANDIKA KAA KIMYA
 
wewe naona akili zako zimefikia mwisho wa kufikiri : there is logic thats fallacy ! :kijana mwenye akili huwezi kuandika kejeli kama hizo! KAMA HUONI CHA KUANDIKA KAA KIMYA

Wewe mratibu elimu kata acha kuwadanganya walimu kisa unaendesha noah!
 
Acha kuropoka wewe!!Nani kakwambia hatutaki mishahara yetu iwewazi?Yaani nyie mnataka kuishi bila utaratibu sio?Nakama huo utaratibu haufai kuna namna yakuupinga sio kuropoka tu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…