RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
- Thread starter
- #101
Pole mkuu komaa na winter huko....!Afrika Mashariki nzima hakuna watu wanakula Bata kama Bongo!
Uziri wa Bongo ni kwamba kuna viwanja vya watu wa hadhi zote...
Ukitaka Bata ndefu kuna mitaaa yake, Ukitaka ile moderate unapata na ukiwa huna uwezo utakula bata ya size yako pia. Bongo Daslamu huwa hamtengi wala kumbagua mtu When it comes to Bataaa!