Buddha Lucana aonekana tena baada ya ukarabati nchini China

Buddha Lucana aonekana tena baada ya ukarabati nchini China

ldleo

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2010
Posts
1,116
Reaction score
1,121
Buddha Lucana ameonekana tena kwenye Mapango ya Longmen baada ya ukarabati mkubwa nchini China.

VCG111394516240.jpg
 
Wanaamini misanamu, kisha ndo waje wampiku kiuchumi US anayeamini ktk Mungu muumba tena anamsaidia Israel mzaliwa wa kwanza wa Mungu.

Mungu hatoruhusu litokee hilo.


Amen.
 
Wanaamini misanamu, kisha ndo waje wampiku kiuchumi US anayeamini ktk Mungu muumba tena anamsaidia Israel mzaliwa wa kwanza wa Mungu.

Mungu hatoruhusu litokee hilo.


Amen.
Mzaliwa wa kwanza wa Mungu ni mwisrael kumbe?
Tumpe hongera zake.
 
Wanaamini misanamu, kisha ndo waje wampiku kiuchumi US anayeamini ktk Mungu muumba tena anamsaidia Israel mzaliwa wa kwanza wa Mungu.

Mungu hatoruhusu litokee hilo.


Amen.

US anayeeneza Ushoga yeye na Mungu wapi na wapi? Au dini zenu zinafundisha ushoga?? US kajificha kwenye kichaka cha dini. Roman catholic nao wameruhusu ushoga wanasema haki za binadamu wtf??.

Mahaba yanawazidi mpaka mnakua mazezeta US =SATAN
 
Wanaamini misanamu, kisha ndo waje wampiku kiuchumi US anayeamini ktk Mungu muumba tena anamsaidia Israel mzaliwa wa kwanza wa Mungu.

Mungu hatoruhusu litokee hilo.


Amen.
Kama hujui kitu ni heri kukaa kimya!

Ndoa za mashoga zimeanzia wapi kurasimishwa?
 
Wanaamini misanamu, kisha ndo waje wampiku kiuchumi US anayeamini ktk Mungu muumba tena anamsaidia Israel mzaliwa wa kwanza wa Mungu.

Mungu hatoruhusu litokee hilo.


Amen.
Mungu aliyewaruhusu wawe mashoga?
 
Back
Top Bottom