Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
Unatakiwa uangalie specification mkuu sio jina la laptop. Kwenye laptop model hio hio inaweza kuwa na i3/i5/i7/i9 etc nyengine zikaja na dedicated gpu nyengine hazina dedicated gpu etc. Muulize muuzaji specs kwanza kabla huja fanya maamuzi.Chief kuhusu laptop za asus vivobook 15 Kwa gaming
Core i3 gen 10Unatakiwa uangalie specification mkuu sio jina la laptop. Kwenye laptop model hio hio inaweza kuwa na i3/i5/i7/i9 etc nyengine zikaja na dedicated gpu nyengine hazina dedicated gpu etc. Muulize muuzaji specs kwanza kabla huja fanya maamuzi.
i3 gen ya 10 mkuu ni so and so, labda kama unaipata bei rahisi sana chini ya 400, ila kwa games uongo, maana ni dual core.Core i3 gen 10
Didicated graphic 2Gb
Asante mkuu ngoja nitajaribu kuiondoa niweke hii. Japo mwanzo ilifanya poa tu.Kama Gpu Z ilisoma vizuri kuna possibility kubwa ni driver issue.
Naona online wanarecomend driver ya zamani 22.8.1 kama ya sasa ina crash.
Sema naona kama site ya amd ipo Chini kwangu, link hii
Ila Mbona fifa 2019 linaplay fresh tui3 gen ya 10 mkuu ni so and so, labda kama unaipata bei rahisi sana chini ya 400, ila kwa games uongo, maana ni dual core.
Hizo wanazo kwamba dedicated graphics 2GB ni uongo sio dedicated ni shared na ram.
Ni hiiView attachment 2975407View attachment 2975408View attachment 2975409i3 gen ya 10 mkuu ni so and so, labda kama unaipata bei rahisi sana chini ya 400, ila kwa games uongo, maana ni dual core.
Hizo wanazo kwamba dedicated graphics 2GB ni uongo sio dedicated ni shared na ram.
Kuna picha mkuu hazija upload.