Budget Holding sJapan- hawataki kunirudishia hela yangu

Budget Holding sJapan- hawataki kunirudishia hela yangu

newazz

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2009
Posts
904
Reaction score
907
NIlinunua gari kutoka kampuni ya Budget Holdings ya Japan, nikafanya malipo mwezi wa sita, hadi sasa hawajaweza kunitumia gari, nilipoona wameshinda kununua gari lile nililotaka, nikawaambia wanirudishie pesa yangu. Hapo ndipo imekuwa ubabaishaji, nimepiga simu na kuwaandikia email, lakini wanatoa ahadi ambazo wameshindwa kutekeleza, ninaona kuna hatari mbele. Je kuna hatua gani naweza kuchukua ili kupata pesa zangu? Naomba msaada katika hilo.
 
NIlinunua gari kutoka kampuni ya Budget Holdings ya Japan, nikafanya malipo mwezi wa sita, hadi sasa hawajaweza kunitumia gari, nilipoona wameshinda kununua gari lile nililotaka, nikawaambia wanirudishie pesa yangu. Hapo ndipo imekuwa ubabaishaji, nimepiga simu na kuwaandikia email, lakini wanatoa ahadi ambazo wameshindwa kutekeleza, ninaona kuna hatari mbele. Je kuna hatua gani naweza kuchukua ili kupata pesa zangu? Naomba msaada katika hilo.

umetuma doller ngapi? wana gari zaidi ya 943 on stock, hebu jaribu kuwaambia unataka choice nyingine, I gues the one you paid for ilikua labda ishauzwa kwa mtu mwingine.

Huwezi potezi pesa kama ni hao jamaa.

I have a friend aliagiza gari alipewa ahadi za ajabu ajabu but within 6 months akapata gari yake.
 
NIlinunua gari kutoka kampuni ya Budget Holdings ya Japan, nikafanya malipo mwezi wa sita, hadi sasa hawajaweza kunitumia gari, nilipoona wameshinda kununua gari lile nililotaka, nikawaambia wanirudishie pesa yangu. Hapo ndipo imekuwa ubabaishaji, nimepiga simu na kuwaandikia email, lakini wanatoa ahadi ambazo wameshindwa kutekeleza, ninaona kuna hatari mbele. Je kuna hatua gani naweza kuchukua ili kupata pesa zangu? Naomba msaada katika hilo.

Mkuu NiPM nikupe mtu wa kukusaidia kupitia ubalozi wetu (TZ) huko Japan
 
umetuma doller ngapi? wana gari zaidi ya 943 on stock, hebu jaribu kuwaambia unataka choice nyingine, I gues the one you paid for ilikua labda ishauzwa kwa mtu mwingine.

Huwezi potezi pesa kama ni hao jamaa.

I have a friend aliagiza gari alipewa ahadi za ajabu ajabu but within 6 months akapata gari yake.

Huo ni muda mwingi sana, nimeshaagiza magari mara kwa mara kutoka Japan, basing on their stock and "purpoted year established" 1962 , nikafikiri ni reputable company, lakini hawana maana kabisa... sitaki kusubiri miezi sita kupata gari... Kwa kweli nimeshawatia msukomsuko sana, nafikiri kama they have any sense, I will shut off this company from online , if they are not sensible and sensitive to return my "hard earned dollars" I swear ...
 
NakuPM sasa hivi, haya ndio mambo.....
 
WASILIANA NA MIMI NIKUSAIDIE MIMI NILIZULUMIWA GARI YA USD 20,000 NILIKWENDA FOREIGN HAKUNA KITU WALINIAMBIA NIFUNGUE KESI KWENYE MAHAKAMA YA KIBIASHARA , NILIPANDA NDEGE NIKAENDA HADI NYUMBANI KWA OWNER NIKAMTEKA NYARA MKEWE HADI POLISI WALIPOKUJA , BOSI ALITITOWA GARI NA KULIPA HOTEL HADI SIKU YA KUONDOKA , ilikuwa ninja show
 
NIlinunua gari kutoka kampuni ya Budget Holdings ya Japan, nikafanya malipo mwezi wa sita, hadi sasa hawajaweza kunitumia gari, nilipoona wameshinda kununua gari lile nililotaka, nikawaambia wanirudishie pesa yangu. Hapo ndipo imekuwa ubabaishaji, nimepiga simu na kuwaandikia email, lakini wanatoa ahadi ambazo wameshindwa kutekeleza, ninaona kuna hatari mbele. Je kuna hatua gani naweza kuchukua ili kupata pesa zangu? Naomba msaada katika hilo.

Hawako hivyo unawapakazia! Na deal nao daily mwaka wa 6 huu
 
Back
Top Bottom