Budget yangu ya kuanzisha duka la vifaa vya umeme. Prove me wrong

Budget yangu ya kuanzisha duka la vifaa vya umeme. Prove me wrong

hii ndo budget ya manunuzi

1.Switch 3
2.Bulb 3
3.Cable 2
4.wire m20
5.holders 5
6.Tester 3

Kimepelea nini kwa mtaji wa lak 1
Kwa TZ,biashara zifuatavyo inalipa sana.
1: spea za bizaa,simu ,motorbike,magari.
2: Vyakula hapa naipa namba 1 kwenye utokaji.
3: Ujenzi vifaa labda uwe mchakalikaji sana kutafuta tenda.
4: vitu viwahusuo akina mama,nguo,viatu,urembo.
5: Ufundi ….ukiwa fundi mchanyato bilakujali nini unaweza tengeneza hutakosa wateja.
 
Kwa TZ,biashara zifuatavyo inalipa sana.
1: spea za bizaa,simu ,motorbike,magari.
2: Vyakula hapa naipa namba 1 kwenye utokaji.
3: Ujenzi vifaa labda uwe mchakalikaji sana kutafuta tenda.
4: vitu viwahusuo akina mama,nguo,viatu,urembo.
5: Ufundi ….ukiwa fundi mchanyato bilakujali nini unaweza tengeneza hutakosa wateja.
kwaiyo niachane na biashara yangu ya vifaa vya umeme
 
Back
Top Bottom