Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 13,942
- 15,371
Mkuu ongeza basi bajeti angalau ifikie laki 5!hii ndo budget ya manunuzi
1. Switch 3
2. Bulb 3
3. Cable 2
4. wire m20
5. Holders 5
6. Tester 3
Kimepelea nini kwa mtaji wa lak 1
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ongeza basi bajeti angalau ifikie laki 5!hii ndo budget ya manunuzi
1. Switch 3
2. Bulb 3
3. Cable 2
4. wire m20
5. Holders 5
6. Tester 3
Kimepelea nini kwa mtaji wa lak 1
fremu ni elf 20
Kila mtu na biashara yake mzeeKwa TZ,biashara zifuatavyo inalipa sana.
1: spea za bizaa,simu ,motorbike,magari.
2: Vyakula hapa naipa namba 1 kwenye utokaji.
3: Ujenzi vifaa labda uwe mchakalikaji sana kutafuta tenda.
4: vitu viwahusuo akina mama,nguo,viatu,urembo.
5: Ufundi ….ukiwa fundi mchanyato bilakujali nini unaweza tengeneza hutakosa wateja.
Nakubaliana na wewe.Kwa TZ,biashara zifuatavyo inalipa sana.
1: spea za bizaa,simu ,motorbike,magari.
2: Vyakula hapa naipa namba 1 kwenye utokaji.
3: Ujenzi vifaa labda uwe mchakalikaji sana kutafuta tenda.
4: vitu viwahusuo akina mama,nguo,viatu,urembo.
5: Ufundi ….ukiwa fundi mchanyato bilakujali nini unaweza tengeneza hutakosa wateja.
Teacherrrr! 😸😸😸😹😹Nletee cable mkuu niifungue biashara