Friedrich Nietzsche
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 2,095
- 3,649
Auze online akwepe vyote hivyoTRA ? Kodi ya unapoanzisha biashara ? Kuna ushuru manispaa/halmashauri ?
ha ha haNimeipenda hii.
naongezeaTester
aisee nnAsee
hao watanisamehe mtaji wa laki siwezi wapa na TRATRA ? Kodi ya unapoanzisha biashara ? Kuna ushuru manispaa/halmashauri ?
Au atembeze barabarani kwenye traffic light 🚥Auze online akwepe vyote hivyo
hii ndo budget ya manunuzi
1.Switch 3
2.Bulb 3
3.Cable 2
4.wire m20
5.holders 5
6.Tester 3
Kimepelea nini kwa mtaji wa lak 1
Kwa TZ,biashara zifuatavyo inalipa sana.hii ndo budget ya manunuzi
1.Switch 3
2.Bulb 3
3.Cable 2
4.wire m20
5.holders 5
6.Tester 3
Kimepelea nini kwa mtaji wa lak 1
kwaiyo niachane na biashara yangu ya vifaa vya umemeKwa TZ,biashara zifuatavyo inalipa sana.
1: spea za bizaa,simu ,motorbike,magari.
2: Vyakula hapa naipa namba 1 kwenye utokaji.
3: Ujenzi vifaa labda uwe mchakalikaji sana kutafuta tenda.
4: vitu viwahusuo akina mama,nguo,viatu,urembo.
5: Ufundi ….ukiwa fundi mchanyato bilakujali nini unaweza tengeneza hutakosa wateja.
fremu ni elf 20Mwanza mzuri Kama vinatoka haraka, na hautegemei Hilo Duka kwa maitaji binafsi Mtaji itakuwa!
Ila swali:
Mtaji wa laki 1; frame ya bei gani?
kwanini kwene trafic lightAu atembeze barabarani kwenye traffic light 🚥
Iyo hela kula brazahii ndo budget ya manunuzi
1. Switch 3
2. Bulb 3
3. Cable 2
4. wire m20
5. Holders 5
6. Tester 3
Kimepelea nini kwa mtaji wa lak 1
Magari yakisimama unauzakwanini kwene trafic light