Budget yangu ya kuanzisha duka la vifaa vya umeme. Prove me wrong

Nilianza na laki 8 hii bishara dodoma. Saivi nakimbiza ml 3+ nme weka na uwakala si haba ,dodoma ujenzi ni mwingi sana. Ml 3+sio faida ni mtaji una kimbilia uko
 
Kila mtu na biashara yake mzee
 
Nakubaliana na wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…