auferet dominus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2017
- 1,804
- 1,292
aisee yaani kweli yule mtu mmoja tu aliyecheza rafu mbaya sana kwenye penati box amewauwa kabisa wenzakeDaaa ina uma sana, jamaa wamepambana mno afu mtu mmoja tu ana amua kuwaua! hakika ina kera sana
So refer angevunga tuu hata kama ameona ile ni Rafu..Huu ubishi wa uhalali wa penalti hauwezi kufika mwisho na haubadilishi chochote, japo mimi kwa upande wangu naona ingependeza zaidi kama wangeenda 120'.
Ndio nini hiki ulichikiandika?kwani pale mpira ulikuwa umekwisha? ombeni kanuni za mpira ziweke refa wa pili wa kuzuia penati zisipigwe dakika ya 90.
kinaonekana kama nini hivi kwa mfano? tip: najizuia hapa kudhani huwezi kufikiri Zaidi ya hapa.Ndio nini hiki ulichikiandika?
Una maoni gani hapo...?nipe sababu kwa nini ni penati?
Unaulizwa swali jibu kwanza halafu ndio uulize lakoHili ni swali kweli? Hukuangalia mechi?
Hao ni hatari amerika kusini, marefa huwa wanatwangwaWanaojua mpira wa mwanza wanafahamu namna mashabiki wa Boca Junior ya jijinithe humu uwafanya marefa wasio na busara katika maamuzi yao.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kati ya wachezaji mpira wenye nidham na good sportsmanship ni Buffoon ila basi tuu. It hurts to the core. Ila soccer la mahesabu nakujituma liko Italia. Wacha hao real wapangwe wakutane na Bayan