Buguruni maeneo gani mazuri yametulia?

Buguruni maeneo gani mazuri yametulia?

Next nina meeting na mchumba nataka nikutane naye Buguruni ingawa sivijui vizuri viwanja vya pale Nipeni location

Pub gani nzuri au mahalo pazuri nitulie na mtoto JoJo kuwe lodge muhimu Sana [emoji2937]

Pale Rozana pako pouwa kuna adi lodge ya 3000. Wahi napema ukichelewa unakutaa imejaa
 
Mlongoo acha Kabisaa tuna kibanda kulecha urithi[emoji16][emoji16][emoji16]natamani kukihamisha nikiweke ht mbagala mbande,uzuri wa paleni centre yaani Kama magomeni vile popote unafika mda wooote ndani ya Dar
Mbna buguruni pako fresh tyuuh.
 
[emoji16][emoji16][emoji3526][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kavurugwa afu kavurugwa Tena!![emoji16][emoji16]kanikumbusha jirani yetu alivyoibiwa jungu la ubwabwa afu siye tukaibiwa ndala
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna hotel hapo inaitwa popex bei ni elfu 30 tu 2018 kuna demu wa kisomali nilimsasambua hapo piga sana pipe hadi akataka kuniamishia kwake
 
[emoji16][emoji16][emoji16]hauko serious buguruni itulie?wapii?ghana?malapa?rozana?kwa mnyamani?kwa biti madenge?au pale sheli?haipo ndugu yangu na labda izaliwe upyaa...[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji2]
 
Back
Top Bottom