Bujibuji leo niko Mwanza

Bujibuji leo niko Mwanza

Bhing'hwe, mwo misha mola?
Weekend hii nipo Mwanza, kabla sijachomoka jumatatu asubuhi na bundi wa Chato.
Sii mbaya nikikutana na mwana JF hata mmoja, akiwa wa ile jinsia pendwa itakuwa poa zaidi, huenda tukaperuzi ule uzi wetu pendwa wa KULA TUNDA KIMASIHARA
Mcheki gILeSi fasta hapo mtaa wa makoroboi, hiyo huduma anaiweza sana hasa kwa wageni wa Roki Site kama wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bhing'hwe, mwo misha mola?
Weekend hii nipo Mwanza, kabla sijachomoka jumatatu asubuhi na bundi wa Chato.
Sii mbaya nikikutana na mwana JF hata mmoja, akiwa wa ile jinsia pendwa itakuwa poa zaidi, huenda tukaperuzi ule uzi wetu pendwa wa KULA TUNDA KIMASIHARA

Nitakutafuta nikitoka semina nbaa twende Wag Hill kula bata, ONYO, usije na uchafu/takataka, tafuta mashine kali
 
Back
Top Bottom