Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Bhing'hwe, mwo misha mola?
Weekend hii nipo Mwanza, kabla sijachomoka jumatatu asubuhi na bundi wa Chato.
Sii mbaya nikikutana na mwana JF hata mmoja, akiwa wa ile jinsia pendwa itakuwa poa zaidi, huenda tukaperuzi ule uzi wetu pendwa wa KULA TUNDA KIMASIHARA
Weekend hii nipo Mwanza, kabla sijachomoka jumatatu asubuhi na bundi wa Chato.
Sii mbaya nikikutana na mwana JF hata mmoja, akiwa wa ile jinsia pendwa itakuwa poa zaidi, huenda tukaperuzi ule uzi wetu pendwa wa KULA TUNDA KIMASIHARA