Bujiku: Vodacom tumepoteza 30% ya mapato kutokana na Tozo

Bujiku: Vodacom tumepoteza 30% ya mapato kutokana na Tozo

Mkuu japo voda imepepyngua mapato lakini ndio mtandao unaongoza Tanzania kwa nyanja zote
Nipende kutoa shukrani zangu za dhati toka niwasusie huduma zao za vifurushi week hii yote wananigea 200MB kila asubuhi na dkk 15 bure wakihisi ntawasamehe uovu wao wa kuniibia 5K toka M-PESA Mwezi wa 6
 
Kaimu mkurugenzi wa Vodacom, Hilda Bujiku amesema tozo za miamala ya simu ilivyoanza walipoteza asilimia 30 ya mapato ya kampuni ila wanategemea miamala itarudi.

Hilda amesema kuna watu wameacha kutumia huduma ya kutuma pesa kupitia mitandao ya simu na wapo waliopunguza idadi ya miamala.

Bujiku amesema miamala haijarudi na wanaendelea kuomba Serikali lakini wanafurahi tozo kupunguzwa na wanaamini miamala itarejea ikiwa ni tayari mwezi mmoja umepita nafuu hiyo itangazwe.

=========
MAONI
Kwako waziri Mwigulu; Tozo zinadumaza sekta ambazo watu walitumia uwekezaji wa maarifa, fedha na nyinginezo kuzibuni. Hata vifurushi vya simu mitandao itakuwa imepandisha ili kufidia faida iliyopungua kutoka kwenye miamala.

Pia nikukumbushe mchumi mwenzangu, moja ya kanuni ya msingi ya kodi ni kuepuka 'Double Taxation'. Kipato kilekile kukitoza kodi zaidi ya mara moja sio afya kiuchumi.

Hii itarudisha miamala ya mkononi ambayo si njema pia hasa kwa BOT kuupima uchumi wa nchi lakini pia itaongeza uchakavu wa pesa. Pia inadumaza biashara zilizokuwa zinafanikishwa kwa hizi huduma kwasababu wafanyabiashara wako sensitive kwenye gharama wanazotumia kufanya biashara.
Ndio maana tutaendelea kukanyagwa. Mwigulu hawezi kuwa moved na hoja nyepesi kama "uchakavu wa pesa" na uwezo wa BOT "kupima uchumi wa nchi."

You think Mwigulu gives a crap about pesa kuchakaa? Si wataagiza nyingine wapige hela kwenye zabuni.

Politicians can do anything because the people do not know anything.
 
Kaimu mkurugenzi wa Vodacom, Hilda Bujiku amesema tozo za miamala ya simu ilivyoanza walipoteza asilimia 30 ya mapato ya kampuni ila wanategemea miamala itarudi.

Hilda amesema kuna watu wameacha kutumia huduma ya kutuma pesa kupitia mitandao ya simu na wapo waliopunguza idadi ya miamala.

Bujiku amesema miamala haijarudi na wanaendelea kuomba Serikali lakini wanafurahi tozo kupunguzwa na wanaamini miamala itarejea ikiwa ni tayari mwezi mmoja umepita nafuu hiyo itangazwe.

=========
MAONI
Kwako waziri Mwigulu; Tozo zinadumaza sekta ambazo watu walitumia uwekezaji wa maarifa, fedha na nyinginezo kuzibuni. Hata vifurushi vya simu mitandao itakuwa imepandisha ili kufidia faida iliyopungua kutoka kwenye miamala.

Pia nikukumbushe mchumi mwenzangu, moja ya kanuni ya msingi ya kodi ni kuepuka 'Double Taxation'. Kipato kilekile kukitoza kodi zaidi ya mara moja sio afya kiuchumi.

Hii itarudisha miamala ya mkononi ambayo si njema pia hasa kwa BOT kuupima uchumi wa nchi lakini pia itaongeza uchakavu wa pesa. Pia inadumaza biashara zilizokuwa zinafanikishwa kwa hizi huduma kwasababu wafanyabiashara wako sensitive kwenye gharama wanazotumia kufanya biashara.
Natabiri atakuja kufuta kauli yake kuhusu tozo kama walivyofanya DStv
 
Kaimu mkurugenzi wa Vodacom, Hilda Bujiku amesema tozo za miamala ya simu ilivyoanza walipoteza asilimia 30 ya mapato ya kampuni ila wanategemea miamala itarudi.

Hilda amesema kuna watu wameacha kutumia huduma ya kutuma pesa kupitia mitandao ya simu na wapo waliopunguza idadi ya miamala.

Bujiku amesema miamala haijarudi na wanaendelea kuomba Serikali lakini wanafurahi tozo kupunguzwa na wanaamini miamala itarejea ikiwa ni tayari mwezi mmoja umepita nafuu hiyo itangazwe.

=========
MAONI
Kwako waziri Mwigulu; Tozo zinadumaza sekta ambazo watu walitumia uwekezaji wa maarifa, fedha na nyinginezo kuzibuni. Hata vifurushi vya simu mitandao itakuwa imepandisha ili kufidia faida iliyopungua kutoka kwenye miamala.

Pia nikukumbushe mchumi mwenzangu, moja ya kanuni ya msingi ya kodi ni kuepuka 'Double Taxation'. Kipato kilekile kukitoza kodi zaidi ya mara moja sio afya kiuchumi.

Hii itarudisha miamala ya mkononi ambayo si njema pia hasa kwa BOT kuupima uchumi wa nchi lakini pia itaongeza uchakavu wa pesa. Pia inadumaza biashara zilizokuwa zinafanikishwa kwa hizi huduma kwasababu wafanyabiashara wako sensitive kwenye gharama wanazotumia kufanya biashara.
Ni sahihi inatakiwa mpoteze mapatao hata kwa asilimia 70% zile mia mia mnazoiba kwenye account zetu za salio kuu na sasa kule mpesa napo zimetosha. Endeleeni kuteseka wezi wakubwa msisingizie hata tozo
 
Funguo za kufulia unazitunza wapi?
Pesa inakatwa na benki/ kampuni ya simu, wanakata Tena Kodi kwenye hizo gharama, Bado wanaleta Tena tozo (Sijaelewa hii ni Kodi au kitu Gani?)
Hamna kodi hapo ni wizi mtupu
 
Katika hili tuko pamoja, hawa wahuni ni wezi wa hela zetu. Hilo limechangia sana ile kampeni ya kuwakataa iliamsha watu wengi na kuhamishia majeshi Zantel, Halotel na Tigo
Failures na majizi yanataka yajifiche kwenye tozo Kudanganya share holders wao 😜😜
 
Wizi wao ndio ulisababisha watu wawakimbie, likampuni hilo lilifilisika toka mwaka Jana Kwa sababu waliendekeza Sana kujiamini..

Wakati wao wanatafuta excuse za kujifariji ukweli unabakia kuwa market share yao ilipungua na watu kuhamia halotel, Airtel na Tigo..
Hawa jamaa wezi sana majuzi wamenikata deni la songesha mara mbili mbili kuuliza wanasema nilikopa mwaka jana
 
Ogopa sana mtu ambaye amekulia maisha ya kimasikini vijijini,akaja mjini kwa kufaulu mtihani na Bado alipofikia kimasomo amekutana na wachunga ng'ombe wenzie na wakulima kidogo.Huwa ni wajuaji sana,nadhani mumemsikia mara kadhaa akisema yeye ni Daktari wa Uchumi,msimlaumu ndiyo upeo wake ulipoishia.
Ata chura akiwa shimoni huwa anaona Dunia yake ni pana sana lakini akitoka nje ya shimo ndiyo anakuja kugundua kumbe alikuwa anajidanganya,Dunia yake ni ndogo.
"Mwanangu Mwigulu endelea kuwanyoosha wapinzani wetu"
 
Kaimu mkurugenzi wa Vodacom, Hilda Bujiku amesema tozo za miamala ya simu ilivyoanza walipoteza asilimia 30 ya mapato ya kampuni ila wanategemea miamala itarudi.

Hilda amesema kuna watu wameacha kutumia huduma ya kutuma pesa kupitia mitandao ya simu na wapo waliopunguza idadi ya miamala.

Bujiku amesema miamala haijarudi na wanaendelea kuomba Serikali lakini wanafurahi tozo kupunguzwa na wanaamini miamala itarejea ikiwa ni tayari mwezi mmoja umepita nafuu hiyo itangazwe.

=========
MAONI
Kwako waziri Mwigulu; Tozo zinadumaza sekta ambazo watu walitumia uwekezaji wa maarifa, fedha na nyinginezo kuzibuni. Hata vifurushi vya simu mitandao itakuwa imepandisha ili kufidia faida iliyopungua kutoka kwenye miamala.

Pia nikukumbushe mchumi mwenzangu, moja ya kanuni ya msingi ya kodi ni kuepuka 'Double Taxation'. Kipato kilekile kukitoza kodi zaidi ya mara moja sio afya kiuchumi.

Hii itarudisha miamala ya mkononi ambayo si njema pia hasa kwa BOT kuupima uchumi wa nchi lakini pia itaongeza uchakavu wa pesa. Pia inadumaza biashara zilizokuwa zinafanikishwa kwa hizi huduma kwasababu wafanyabiashara wako sensitive kwenye gharama wanazotumia kufanya biashara.

Airtel Money hakuna Tozo.
Voda watafute njia ya kujiinua as brand. Mbona haisemi kuwa imepunguza almost 40% ya matangazo wa kulaumiwa ni nani…?
 
Airtel Money hakuna Tozo.
Voda watafute njia ya kujiinua as brand. Mbona haisemi kuwa imepunguza almost 40% ya matangazo wa kulaumiwa ni nani…?
Vodacom iko listed ndio maana taarifa zake ziko wazi, Airtel watakuwa wanaugulia moyoni..
 
Tatizo la mkuu wa state kuwaamini wapigaji bila yeye kusimama kidete.
 
Back
Top Bottom