Nipende kutoa shukrani zangu za dhati toka niwasusie huduma zao za vifurushi week hii yote wananigea 200MB kila asubuhi na dkk 15 bure wakihisi ntawasamehe uovu wao wa kuniibia 5K toka M-PESA Mwezi wa 6Mkuu japo voda imepepyngua mapato lakini ndio mtandao unaongoza Tanzania kwa nyanja zote
Katika hili tuko pamoja, hawa wahuni ni wezi wa hela zetu. Hilo limechangia sana ile kampeni ya kuwakataa iliamsha watu wengi na kuhamishia majeshi Zantel, Halotel na TigoNdio sasa wasisingizie tozo kisa upuuzi wao,watu wamewahama nikiwemo mimi nimepunguza Sana huduma zao.
Ndio maana tutaendelea kukanyagwa. Mwigulu hawezi kuwa moved na hoja nyepesi kama "uchakavu wa pesa" na uwezo wa BOT "kupima uchumi wa nchi."Kaimu mkurugenzi wa Vodacom, Hilda Bujiku amesema tozo za miamala ya simu ilivyoanza walipoteza asilimia 30 ya mapato ya kampuni ila wanategemea miamala itarudi.
Hilda amesema kuna watu wameacha kutumia huduma ya kutuma pesa kupitia mitandao ya simu na wapo waliopunguza idadi ya miamala.
Bujiku amesema miamala haijarudi na wanaendelea kuomba Serikali lakini wanafurahi tozo kupunguzwa na wanaamini miamala itarejea ikiwa ni tayari mwezi mmoja umepita nafuu hiyo itangazwe.
=========
MAONI
Kwako waziri Mwigulu; Tozo zinadumaza sekta ambazo watu walitumia uwekezaji wa maarifa, fedha na nyinginezo kuzibuni. Hata vifurushi vya simu mitandao itakuwa imepandisha ili kufidia faida iliyopungua kutoka kwenye miamala.
Pia nikukumbushe mchumi mwenzangu, moja ya kanuni ya msingi ya kodi ni kuepuka 'Double Taxation'. Kipato kilekile kukitoza kodi zaidi ya mara moja sio afya kiuchumi.
Hii itarudisha miamala ya mkononi ambayo si njema pia hasa kwa BOT kuupima uchumi wa nchi lakini pia itaongeza uchakavu wa pesa. Pia inadumaza biashara zilizokuwa zinafanikishwa kwa hizi huduma kwasababu wafanyabiashara wako sensitive kwenye gharama wanazotumia kufanya biashara.
Natabiri atakuja kufuta kauli yake kuhusu tozo kama walivyofanya DStvKaimu mkurugenzi wa Vodacom, Hilda Bujiku amesema tozo za miamala ya simu ilivyoanza walipoteza asilimia 30 ya mapato ya kampuni ila wanategemea miamala itarudi.
Hilda amesema kuna watu wameacha kutumia huduma ya kutuma pesa kupitia mitandao ya simu na wapo waliopunguza idadi ya miamala.
Bujiku amesema miamala haijarudi na wanaendelea kuomba Serikali lakini wanafurahi tozo kupunguzwa na wanaamini miamala itarejea ikiwa ni tayari mwezi mmoja umepita nafuu hiyo itangazwe.
=========
MAONI
Kwako waziri Mwigulu; Tozo zinadumaza sekta ambazo watu walitumia uwekezaji wa maarifa, fedha na nyinginezo kuzibuni. Hata vifurushi vya simu mitandao itakuwa imepandisha ili kufidia faida iliyopungua kutoka kwenye miamala.
Pia nikukumbushe mchumi mwenzangu, moja ya kanuni ya msingi ya kodi ni kuepuka 'Double Taxation'. Kipato kilekile kukitoza kodi zaidi ya mara moja sio afya kiuchumi.
Hii itarudisha miamala ya mkononi ambayo si njema pia hasa kwa BOT kuupima uchumi wa nchi lakini pia itaongeza uchakavu wa pesa. Pia inadumaza biashara zilizokuwa zinafanikishwa kwa hizi huduma kwasababu wafanyabiashara wako sensitive kwenye gharama wanazotumia kufanya biashara.
Ni sahihi inatakiwa mpoteze mapatao hata kwa asilimia 70% zile mia mia mnazoiba kwenye account zetu za salio kuu na sasa kule mpesa napo zimetosha. Endeleeni kuteseka wezi wakubwa msisingizie hata tozoKaimu mkurugenzi wa Vodacom, Hilda Bujiku amesema tozo za miamala ya simu ilivyoanza walipoteza asilimia 30 ya mapato ya kampuni ila wanategemea miamala itarudi.
Hilda amesema kuna watu wameacha kutumia huduma ya kutuma pesa kupitia mitandao ya simu na wapo waliopunguza idadi ya miamala.
Bujiku amesema miamala haijarudi na wanaendelea kuomba Serikali lakini wanafurahi tozo kupunguzwa na wanaamini miamala itarejea ikiwa ni tayari mwezi mmoja umepita nafuu hiyo itangazwe.
=========
MAONI
Kwako waziri Mwigulu; Tozo zinadumaza sekta ambazo watu walitumia uwekezaji wa maarifa, fedha na nyinginezo kuzibuni. Hata vifurushi vya simu mitandao itakuwa imepandisha ili kufidia faida iliyopungua kutoka kwenye miamala.
Pia nikukumbushe mchumi mwenzangu, moja ya kanuni ya msingi ya kodi ni kuepuka 'Double Taxation'. Kipato kilekile kukitoza kodi zaidi ya mara moja sio afya kiuchumi.
Hii itarudisha miamala ya mkononi ambayo si njema pia hasa kwa BOT kuupima uchumi wa nchi lakini pia itaongeza uchakavu wa pesa. Pia inadumaza biashara zilizokuwa zinafanikishwa kwa hizi huduma kwasababu wafanyabiashara wako sensitive kwenye gharama wanazotumia kufanya biashara.
Hamna kodi hapo ni wizi mtupuFunguo za kufulia unazitunza wapi?
Pesa inakatwa na benki/ kampuni ya simu, wanakata Tena Kodi kwenye hizo gharama, Bado wanaleta Tena tozo (Sijaelewa hii ni Kodi au kitu Gani?)
Suala zima la funguo za kibubu mbona hauliangazii? Nazitunza ama?Hamna kodi hapo ni wizi mtupu
Dah mbona nawe kama ni tozo my wangu 🤣🤣🤣Sualazima lafunguo za kibubu mbona hauliangazii? Nazitunza ama?
Dah mbona nawe kama ni tozo my wangu 🤣🤣🤣
Failures na majizi yanataka yajifiche kwenye tozo Kudanganya share holders wao 😜😜Katika hili tuko pamoja, hawa wahuni ni wezi wa hela zetu. Hilo limechangia sana ile kampeni ya kuwakataa iliamsha watu wengi na kuhamishia majeshi Zantel, Halotel na Tigo
Hawa jamaa wezi sana majuzi wamenikata deni la songesha mara mbili mbili kuuliza wanasema nilikopa mwaka janaWizi wao ndio ulisababisha watu wawakimbie, likampuni hilo lilifilisika toka mwaka Jana Kwa sababu waliendekeza Sana kujiamini..
Wakati wao wanatafuta excuse za kujifariji ukweli unabakia kuwa market share yao ilipungua na watu kuhamia halotel, Airtel na Tigo..
Shareholders wa Voda wana hali mbaya sanaFailures na majizi yanataka yajifiche kwenye tozo Kudanganya share holders wao 😜😜
DuhCCM imelaaniwa Isaya 50 verse 11
Kaimu mkurugenzi wa Vodacom, Hilda Bujiku amesema tozo za miamala ya simu ilivyoanza walipoteza asilimia 30 ya mapato ya kampuni ila wanategemea miamala itarudi.
Hilda amesema kuna watu wameacha kutumia huduma ya kutuma pesa kupitia mitandao ya simu na wapo waliopunguza idadi ya miamala.
Bujiku amesema miamala haijarudi na wanaendelea kuomba Serikali lakini wanafurahi tozo kupunguzwa na wanaamini miamala itarejea ikiwa ni tayari mwezi mmoja umepita nafuu hiyo itangazwe.
=========
MAONI
Kwako waziri Mwigulu; Tozo zinadumaza sekta ambazo watu walitumia uwekezaji wa maarifa, fedha na nyinginezo kuzibuni. Hata vifurushi vya simu mitandao itakuwa imepandisha ili kufidia faida iliyopungua kutoka kwenye miamala.
Pia nikukumbushe mchumi mwenzangu, moja ya kanuni ya msingi ya kodi ni kuepuka 'Double Taxation'. Kipato kilekile kukitoza kodi zaidi ya mara moja sio afya kiuchumi.
Hii itarudisha miamala ya mkononi ambayo si njema pia hasa kwa BOT kuupima uchumi wa nchi lakini pia itaongeza uchakavu wa pesa. Pia inadumaza biashara zilizokuwa zinafanikishwa kwa hizi huduma kwasababu wafanyabiashara wako sensitive kwenye gharama wanazotumia kufanya biashara.
Vodacom iko listed ndio maana taarifa zake ziko wazi, Airtel watakuwa wanaugulia moyoni..Airtel Money hakuna Tozo.
Voda watafute njia ya kujiinua as brand. Mbona haisemi kuwa imepunguza almost 40% ya matangazo wa kulaumiwa ni nani…?