MBOKA NA NGAI
JF-Expert Member
- Jan 31, 2025
- 350
- 576
Habari zilizopo kwa sasa, ni kwamba baada ya wanajeshi wa Burundi na FARDC kukimbia uwanja wa ndege na kukimbilia mjini Bukavu, yawezekana M23 tayari ilikuwa mjini ikiwachora tu. Tofauti na Goma, M23 imewatangazia maeneo ya wazi wanaohitaji kutoka mjini humo, na kweli wanajeshi wa serikali wakachukua magari na kusepa. Baada ya muda, ndipo jeshi la M23 likaonekana likikalibishwa kwa shangwe na raia.
Haya
Baada ya rais wa DRC kuapa hatokaa kuzungumza na M23, wanamkumbusha kuwa safari yao itaishia Kinshasa.
Kwa kasi hii, huko maporini na kwenyewe kutaachwa silaha kama za Kivu kaskazini na kusini? maana M23 inazoa kama hazina mwenyewe
Usafiri sasa, ndo usiseme.Kila aina ya gari,lipo. Wakisamehe, Kivu inajitenga.Wakisonga,basi uwezekano wa mzee Felix kubaki huko huko ulaya ni mkubwa.
View: https://x.com/i/status/1890440659594535334
View: https://x.com/i/status/1890446842187641041
Haya
Baada ya rais wa DRC kuapa hatokaa kuzungumza na M23, wanamkumbusha kuwa safari yao itaishia Kinshasa.
Kwa kasi hii, huko maporini na kwenyewe kutaachwa silaha kama za Kivu kaskazini na kusini? maana M23 inazoa kama hazina mwenyewe
Usafiri sasa, ndo usiseme.Kila aina ya gari,lipo. Wakisamehe, Kivu inajitenga.Wakisonga,basi uwezekano wa mzee Felix kubaki huko huko ulaya ni mkubwa.
View: https://x.com/i/status/1890440659594535334
View: https://x.com/i/status/1890446842187641041