Bukoba: Mwili wa Raia wa Uingereza aliyefariki kwenye ajali ya Precision Air wasafirishwa

Bukoba: Mwili wa Raia wa Uingereza aliyefariki kwenye ajali ya Precision Air wasafirishwa

Ex Spy

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2007
Posts
222
Reaction score
1,827
Mwili wa raia pekee wa Uingereza aliyefariki ndani ya ndege ya Precison Air, unasafirishwa leo kwa gari kuelekea Mwanza.

Baadaye usiku wa leo, mwili huo wa Jonathan Rose, utasafirishwa kwa ndege kuelekea Dar es Salaam ambako mipango ya kuupeleka London, Uingereza inaendelea.

Nimepata taarifa za uhakika kuwa Muingereza huyo alikuwa mtumishi wa Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) na alikuwa akielekea Bukoba kwa mara ya kwanza.

Aidha, mebainika kuwa jeneza lenye mwili wa Muingereza huyo liliondoshwa chumba cha kuhifadhia maiti katika Hospital ya Rufaa ya Bukoba saa 3.44 asubuhi.

Ubalozi wa Uingereza wanazo taarifa za kutokea kwa kifo cha raia wao na kwamba unashiriki kikamilifu kuhakikisha mwili wake unafikishwa kwa familia yake haraka iwezekanavyo.
 
Mwili wa raia pekee wa Uingereza aliyefariki ndani ya ndege ya Precison Air, unasafirishwa leo kwa gari kuelekea Mwanza.

Baadaye usiku wa leo, mwili huo wa Jonathan Rose, utasafirishwa kwa ndege kuelekea Dar es Salaam ambako mipango ya kuupeleka London, Uingereza inaendelea.

Nimepata taarifa za uhakika kuwa Muingereza huyo alikuwa mtumishi wa Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) na alikuwa akielekea Bukoba kwa mara ya kwanza.

Aidha, mebainika kuwa jeneza lenye mwili wa Muingereza huyo liliondoshwa chumba cha kuhifadhia maiti katika Hospital ya Rufaa ya Bukoba saa 3.44 asubuhi.

Ubalozi wa Uingereza wanazo taarifa za kutokea kwa kifo cha raia wao na kwamba unashiriki kikamilifu kuhakikisha mwili wake unafikishwa kwa familia yake haraka iwezekanavyo.
Mungu amoe pumziko jema Jonathan Rose.
Mungu awape faraja nduguze na jamaa kwenye kipindi hiki kigumu kwa kumpoteza mwanafamilia.


Ajali imetuumiza
Ajali imetuvua nguo
Mungu atunusuru
 
Mwili wa raia pekee wa Uingereza aliyefariki ndani ya ndege ya Precison Air, unasafirishwa leo kwa gari kuelekea Mwanza.

Baadaye usiku wa leo, mwili huo wa Jonathan Rose, utasafirishwa kwa ndege kuelekea Dar es Salaam ambako mipango ya kuupeleka London, Uingereza inaendelea.

Nimepata taarifa za uhakika kuwa Muingereza huyo alikuwa mtumishi wa Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) na alikuwa akielekea Bukoba kwa mara ya kwanza.

Aidha, mebainika kuwa jeneza lenye mwili wa Muingereza huyo liliondoshwa chumba cha kuhifadhia maiti katika Hospital ya Rufaa ya Bukoba saa 3.44 asubuhi.

Ubalozi wa Uingereza wanazo taarifa za kutokea kwa kifo cha raia wao na kwamba unashiriki kikamilifu kuhakikisha mwili wake unafikishwa kwa familia yake haraka iwezekanavyo.
Waingereza c ndio ma nguli za Sheria dunia si watakuja kudai fidia ya mabilion kampuni hyo

Rip mzungu wetu
 
Mungu amoe pumziko jema Jonathan Rose.
Mungu awape faraja nduguze na jamaa kwenye kipindi hiki kigumu kwa kumpoteza mwanafamilia.


Ajali imetuumiza
Ajali imetuvua nguo
Mungu atunusuru
UZEMBE wa UOGOAJI NDIO CHANZO KIKUBWA CHA VIFO VYA WATU 19
 
Siku Emirates ikidondoka popote pale Tanzania wasahau kuokoa watu
 
Raia pekee ndio nn? Walipaswa kuwa raia wangapi kwenye hiyo ajali?
 
Back
Top Bottom