Shida matawi ya ccm (vyama vya upinzani baadhi) vinadhani NO REFORMS NO ELECTION ni kwa ajili ya CHADEMA TU. Wanasahau kwamba Reforms hizo za uchaguzi zikifanyiwa kazi hata vyama vyao vidogo vinaweza kupata wawakilishi wengi TU bungeni na kwenye udiwani.