King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Ujanja Ujanja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matatizo yalianzia hapa . Na ni mwisho wa COVID-19 sasa!Ester Bulaya amesema kuwa yeye alifuata taratibu zote za kuwa mbunge wa viti maalum ndani ya chama chake. Pia ameeleza hakughushi nyaraka na kama amefanya hivyo basi alipaswa kushtakiwa mahakamani
View attachment 3247495
IRRESISTIBLE CONCLUSION KUTKANA NA MAMBO YALIVYOJITOKEZA NA REACTION ZA CHADEMA, IT IS OBVIOUS KUWA NI MALAYA WA PESA!Hata yeye alikosea. Mpaka sasa hivi hamna ushahidi kuwa wakina Esther waliingia Bungeni kwa sababu ya pesa au zawadi fulani. Tusubiri watuambie nini kiliwasukuma kufanya walichofanya.
Amandla...
IRRESISTIBLE CONCLUSION KUTKANA NA MAMBO YALIVYOJITOKEZA NA REACTION ZA CHADEMA, IT IS OBVIOUS KUWA NI MALAYA WA PESA!
View: https://www.youtube.com/watch?v=b7nPTYZijW4
WALIKUWA WANA FANYATREESOME ...MBOWE NI MUHUNI SANA😁😁😁😁Yuko sahihi
Mbowe: Niliwaita Halima na Bulaya Hotelini Nairobi nikawaomba wajiuzulu Ubunge wakakataa
" Nikawaomba wajiuzulu Ubunge"🐼
Mamluki wa kijaniMbona anaongea kihuni na kwa kebehi sana!
Mimi mwenzenu jamani huyu mdada,sio tuu namkubali kichizi,bali kiukweli, 。。。,, naomba nisimalizie!,, ila nimeanza kumzimikia long time toka yuko CCM Mbunge wa CCM, Esta Bulaya, ni mbunge pekee aliyesaini petition ya Zitto ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu! Chadema ikomppteza itakuwa imepoteza kitu kikubwa,na wasipoamua mapema kuwasamehe,hawa watatu,Halima Mdee,Ester Bulaya na Ester Matiko,watagombewa kama mpira wa kona na majimbo yao,wakosimama kupitia chama chochote,wana tusua!。Ester Bulaya amesema kuwa yeye alifuata taratibu zote za kuwa mbunge wa viti maalum ndani ya chama chake. Pia ameeleza hakughushi nyaraka na kama amefanya hivyo basi alipaswa kushtakiwa mahakamani
View attachment 3247495
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
A=Cwhat is the logical conclusion from that statement?...
HINT: If A=B and
B=C
What is the relationship between A and C
watapata kura ya watu kama nyie , msiojielewa. sie huku mtaani hatuwataki, bora ugombee wewe tutakupa kura sio yale ma mama. najua huna fedha za kuhonga ili wajumbe wakupitishe , pambana uingie kama mgombea binafsiMimi mwenzenu jamani huyu mdada,sio tuu namkubali kichizi,bali kiukweli, 。。。,, naomba nisimalizie!,, ila nimeanza kumzimikia long time toka yuko CCM Mbunge wa CCM, Esta Bulaya, ni mbunge pekee aliyesaini petition ya Zitto ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu! Chadema ikomppteza itakuwa imepoteza kitu kikubwa,na wasipoamua mapema kuwasamehe,hawa watatu,Halima Mdee,Ester Bulaya na Ester Matiko,watagombewa kama mpira wa kona na majimbo yao,wakosimama kupitia chama chochote,wana tusua!。
P
Hili neno!pambana uingie kama mgombea binafsi
YAANI SIKU WANARUDI KUNDINI CHADEMA KUNA MAJITU HUMU YATAKUFA KIBUDU SIASA MNAIJUWA NYIEwatapata kura ya watu kama nyie , msiojielewa. sie huku mtaani hatuwataki, bora ugombee wewe tutakupa kura sio yale ma mama. najua huna fedha za kuhonga ili wajumbe wakupitishe , pambana uingie kama mgombea binafsi
Nasikia Matiko ameisha amua kuwa upande wa pili. Halima na Bulaya ndio ngangari kuwa wao ni Chadema na watakufa Chadema.Mimi mwenzenu jamani huyu mdada,sio tuu namkubali kichizi,bali kiukweli, 。。。,, naomba nisimalizie!,, ila nimeanza kumzimikia long time toka yuko CCM Mbunge wa CCM, Esta Bulaya, ni mbunge pekee aliyesaini petition ya Zitto ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu! Chadema ikomppteza itakuwa imepoteza kitu kikubwa,na wasipoamua mapema kuwasamehe,hawa watatu,Halima Mdee,Ester Bulaya na Ester Matiko,watagombewa kama mpira wa kona na majimbo yao,wakosimama kupitia chama chochote,wana tusua!。
P
Shida ni kuwa mnadhani wanachotaka ni cheo. Hawa wanaweza kuchangia bila hata ya kuwa na cheo. Wanachotaka ni kuwa wanachama, hayo mengine sio muhimu.watapata kura ya watu kama nyie , msiojielewa. sie huku mtaani hatuwataki, bora ugombee wewe tutakupa kura sio yale ma mama. najua huna fedha za kuhonga ili wajumbe wakupitishe , pambana uingie kama mgombea binafsi