gogo la shamba
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 6,669
- 2,165
kwa hiyo Kinana ni Jipu?Kwa taarifa za ndani kabisa, ni kwamba Mwenyekiti wa wazazi wa CCM, Addalla Bulembo ambaye ni darasa la saba kielimu anatarajiwa kumrithi Kinana ifikapo May hapo Rais Magufuli atakapoachiwa chama...
Yasemekana Rais Mstafu Kikwete, ambaye ni Mkt wa CCM kaamua kuachia kiti hicho ifikapo Mei ili ampe nafasi Rais Magufuli.