Bulembo: Polepole ni Unyasi kaletwa CCM na kokoro, V8 ameijulia CCM, Bashiru alitoka CUF. Nataka Mdahalo na Polepole

Mzee huo ni Unafiki Polepole ulikuwa nae CCM mbona ukimwambia Maneno hayo ?
Je Magufuli angekuwa hai ungethubutu kusema Maneno hayo Acha UNAFIKI MZEE
 
Huyu Bulembo alifaa awe Jela,kahusika sana kuuza mali za Jumuiya ya wazazi.
 
Ipo siku watasema walichomfanya Magufuli. Eti kwa vile hayupo ndo Bulembo anasema Maguful alivuruga diplomasia. Why hamkusema akiwepo ?Kweli Magufuli hakufa kifo cha kawaida. Hawa walimtanguliza.
Corona haijawai kuwa na masikhara na wapuuzi! Si Nkurunziza si kaka yake Magufuli. Wote iliwafyeka
 
Hakuna na hatakuja kutokea mtu mwenye ushawishi Ccm kuliko kikwete weka akilini yule Mzee ni mastermind wa siasa za Tz
JK hakuwa na ushawishi, Ila alikuwa na mvuto,
Tofautisha Kati ya mvuto na ushawishi
 
Unaijua vieite wewe mwandishi ? Ndo tunatembelea ss
 
Lakini kalemani ana uzoefu mkubwa tu katika chama[emoji1745]
 
Duh mambo sio easy,... Hapo alimpo mtaja Bashiru yaan ni direct inaonyesha hawapo sawa
 
Raha sana CCM wakiwa wananyukana, bahati mbaya wabongo wengi wapiga kura huwa hawafuatilii haya mambo kuona chama wanachokichagua kila mara hakina dira yoyote zaidi ya kugombania vyeo
Kwan ccm huwa inachaguliwa mkubwa?!!! Wewe ulishawah kuichagua? Msimamiz wa uchaguz anachaguliwaga na nani?
 
Wote hao wanatetea matumbo yao #tunataka katiba mpya#
 
Duu CCM siyo poa unatupiwa maneno unatupiwa virago bado roho tuu,

Yatima hadeki.
 
Uko CCM kila mtu ni mchumia tumbo. Mungu naomba uendelee kuwafanya hawa wahuni toka CCM waendelee kuvurugana mpaka chama kife kabisa
 
Nilichojifunza kwa kipindi hiki cha mwaka mmoja. Tanzania kuna unafiki mkubwa sana. Tuna wivu sana hatupendi mafanikio tutakuwa masikini kwa kipindi kirefu sana. Na uwezekano wa kuwawajibisha viongozi haupo kwasababu ni wanafiki. Unaweza sema unasaidia huku kumbe huyo hyo unayemnafikia baadaye anakuja kukusaliti na kukudhalilisha. Trust no one. Ishi wewe ulivyo fanya mambo yako kwa ustadi mkubwa.

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Hahahah mda mwingine akina Bulembo wanasumbuliwa na udini pamoja na ujinga! Yaani anajidai alikuwa anampenda Magufuli kwani kutembea na Magufuli kama kampeni maneja ndo kuwa naupendo nae? Yaani ukimsikiliza ndo utajua kiwango chake cha ujinga!
Kwanza kaonyesha waziwa yeye na wahuni hawakumpenda magu lichaya kutembea naye siku 60,alitembea naye kinafiki tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…