Uchaguzi 2020 Bulendu: Kanuni na Sheria za Uchaguzi zimetungwa kuwa Muathirika wa kanuni hana Haki ya kudai haki inayovunjwa. Tunatengeneza Magaidi wenyewe

Tuna sheria za kijinga sana zilizotungwa na watu wajinga wenye dhamira ovu.

Sheria kama hizo, zinatakiwa kukataliwa, kutofuatwa na kupuuzwa na kila mwananchi. Hizo kanuni za kijinga namna hiyo, Tume wakazitumie kuendeshea familia zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe watu wanajua kabisa kinachofanyika! Sasa tunatokaje hapo? Maana kuna genge fulani la wahuni linatuchezea sana kila mara
 
Ndiyo maana mtu kama Kibudu, ni profesa wa hovyo kuliko jambazi la kuiba kuku. Ametumia elimu yake kuharibu Taifa badala ya kulijenga Taifa.

Sheria nyingi hizi za kiwendawazimu zimrkaziwa zaidi na mabadiliko mengi ambayo muasisi mkuu ni Kibudu na Jiwe. Yule mjinga wa mjengoni na wapiga vigelegele wake ni watu wa hewala mzee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mawakala wanatakiwa kuwa na simu wao kama jicho/macho ya wapigakura na umma vinginevyo ni sawa na kupiga kura gizani.
Waandishi wa habari pia lazima wawepo ndani ya chumba cha kupigia kura. Wote hawa ni jicho/macho ya wapigakura na umma vinginevyo ni sawa na kupiga kura gizani.
Tume inapowakataa watu hao inataka kuendesha uchaguzi gizani. Haina nia ya kutenda haki.
Na ndiyo maana wanataka maamuzi tume kuhusu mshindi/washindi yafanywe gizani na yasihojiwe mahakamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…