Bull Forge wanunuzi wa ngozi kavu na pembe za ngombe.

Bull Forge wanunuzi wa ngozi kavu na pembe za ngombe.

Emanueld

Member
Joined
Nov 8, 2013
Posts
73
Reaction score
41
Bull forge ni kampuni inayojishughulisha na ununuz wa bidhaa mbalimbali za ng'ombe.

Tunanua Ngozi kavu pia pembe za ng'ombe.

Mwenye nazo tuwasiliane
0713879793
0689529041

Black & Yellow Modern Exclusive Furniture Poster_20250209_125603_0000.png
 
Nenda vingunguti.
Ndugu zangu, natafuta mtu anayeweza kuwa na access ya upatikanaji wa pembe za ngo'ombe zikiwa kavu pamoja na ngozi za Ng'ombe ziwe kavu pia kwa wingi
 
Bull forge ni kampuni inayojishughulisha na ununuz wa bidhaa mbalimbali za ng'ombe.

Tunanua Ngozi kavu pia pembe za ng'ombe.
1. Weka bei ya ngozi kwa kilo
2. Weka bei ya pembe kwa kilo
3. Weka mawasiliano yako
4. Sema unapatikana wapi
5. Bainisha uwezo wako ni kuchukua kuanzia kilo ngapi za bidhaa unazo hitaji.
 
1. Weka bei ya ngozi kwa kilo
2. Weka bei ya pembe kwa kilo
3. Weka mawasiliano yako
4. Sema unapatikana wapi
5. Bainisha uwezo wako ni kuchukua kuanzia kilo ngapi za bidhaa unazo hitaji.
Ukiona mtu anatafuta bidhaa halafu haweki mawasiliano yake au anataka afuatwe pm huyo jua ni mbabaishaji, ukiona mtu anatangaza kutafuta bidhaa hajaweka bei yake lakini anataka apewe bei na mwenye bidhaa hua sipotezi muda wanakua wababaishaji , ni type ya wafanyabiashara wa mitandaoni mashujaa wa keyboard ambao hawajawahi kua ground
 
Anasema popote ngozi watafuata hivo hata piece moja wao watakuja, halafu mbona ni easy unakwenda machinjio mbalimbali taarifa utapata huko na unafanya biashara.
 
1. Weka bei ya ngozi kwa kilo
2. Weka bei ya pembe kwa kilo
3. Weka mawasiliano yako
4. Sema unapatikana wapi
5. Bainisha uwezo wako ni kuchukua kuanzia kilo ngapi za bidhaa unazo hitaji.
Tuwasiliane 0713879793 , 0689529041
 
Ukiona mtu anatafuta bidhaa halafu haweki mawasiliano yake au anataka afuatwe pm huyo jua ni mbabaishaji, ukiona mtu anatangaza kutafuta bidhaa hajaweka bei yake lakini anataka apewe bei na mwenye bidhaa hua sipotezi muda wanakua wababaishaji , ni type ya wafanyabiashara wa mitandaoni mashujaa wa keyboard ambao hawajawahi kua ground
Mawasiliano mbona nmeweka kwenye poster
0713879793
0689529041
 
Anasema popote ngozi watafuata hivo hata piece moja wao watakuja, halafu mbona ni easy unakwenda machinjio mbalimbali taarifa utapata huko na unafanya biashara.
Najua zinapatikana machinjio ila demand nilokuwa nayo imekuwa kubwa compared na machinjio ambayo nachukua , ndo maana nimeshare tangazo kama kuna mtu anazo au anafahamu exactly machinjio gan napata uniunganishe
 
Hivi mnajua mziki wa kupata hizi vitu?? Nilipata oda kwa Mchina mmoja 2017 alikuwa ananunua pembe kg 9000/= , Leta tani za uwezo wako aisee nilizunguka maeneo Moro, Iringa, mbeya n.k ila unakuta mtu anasubiri akichinjwa ng’ombe hata mmoja ananunua na kapanga na chumba hilo eneo kwa ajili hiyo tu, KWELI WABONGO WANAJUA KUTEMBEA NA FURSA🤣🙌🏻 (Nilizani nimeotea mchongo mwenyewe nilipoingia field nikatulia na kuendelea na mishe zangu🤣)
 
1. Weka bei ya ngozi kwa kilo
2. Weka bei ya pembe kwa kilo
3. Weka mawasiliano yako
4. Sema unapatikana wapi
5. Bainisha uwezo wako ni kuchukua kuanzia kilo ngapi za bidhaa unazo hitaji.
Umeiweka vzr japo wanafanyaga sir kitu kinacho kuja kua fulsa kwa watu wengine
 
Back
Top Bottom