Uko sahihi bongo unaweza kupata fursa ya kukusanya kitu fulani hesabu ya kwenye karatasi utaona umepata mchongo na utajiri nje nje , unaweza kuanza hadi kufanya sherehe na kutangaza wewe hela umepata, nenda field kakusanye utakuta maajabu makubwa umepewa upeleke vitu 500 , unajikuta unakusanya hadi unakata tamaa na mchongo inaishia hapo, kuna watu kila deal wameshaidominate toka enzi na enzi so ukiwa mgeni hadi ukuze empire yako utajikuta unaishia kupoteza pesa yakoHivi mnajua mziki wa kupata hizi vitu?? Nilipata oda kwa Mchina mmoja 2017 alikuwa ananunua pembe kg 9000/= , Leta tani za uwezo wako aisee nilizunguka maeneo Moro, Iringa, mbeya n.k ila unakuta mtu anasubiri akichinjwa ng’ombe hata mmoja ananunua na kapanga na chumba hilo eneo kwa ajili hiyo tu, KWELI WABONGO WANAJUA KUTEMBEA NA FURSA🤣🙌🏻 (Nilizani nimeotea mchongo mwenyewe nilipoingia field nikatulia na kuendelea na mishe zangu🤣)