Bullet proof vest ilivaliwa ili kumchafua mtu moja tu ndani ya CHADEMA ili aonekane ni kitisho kwa wengine na mbaya kwenye chama na jamii kwa ujumla

sasa ndugu mjanja mbona una weweseka tu na kumbwelambwela?

au njaa inakuhenyenta?

kwanini kinaraka wa mabawenyenye ya magharibi havai tena bullet proof?

alikua ana muogopa nani zaidi pale chadema hq?
 
je,
huyo mtu yupo au hayupo pale chadema?

maana bullet proof vest ilikua ikivaliwa kuelekea chadema hq pekee kana kwamba pale ndipo palikua eneo hatari zaid gentleman
Bullete proof inavaliwa kwa usalama wake, last time aliposhbuliwa alishambuliwa na watu wa chadema?

Uache kupush agenda ambazo hazipo
 
sasa ndugu mjanja mbona una weweseka tu na kumbwelambwela?

au njaa inakuhenyenta?

kwanini kinaraka wa mabawenyenye ya magharibi havai tena bullet proof?

alikua ana muogopa nani zaidi pale chadema hq?
Unakatwe kinemb..e wewe
 
Bullete proof inavaliwa kwa usalama wake, last time aliposhbuliwa alishambuliwa na watu wa chadema?

Uache kupush agenda ambazo hazipo
wadau wanataka kufahamu pale chadema HQ,
nani alikua kitisho cha usalama wake hata akawa na vaa bullet proof vest akienda hapo tu?

Na je,
usalama wake ukoje kwa sasa?

na kama kitisho kilikua chadema HQ, kwanini alisingizia taasisi za nje ya chadema?

pole kwa maswali magumu ambayo huna uwezo nayo gentleman
 
Hao wadau walishawapata walimshambulia? Punguza unafiki na hao wadau wako.

Huna point
 
Hao wadau walishawapata walimshambulia? Punguza unafiki na hao wadau wako.

Huna point
mnafiki mkuu ni huyo mvaa bullet proof vest anae panga kwenda kumtembelea mtu ambae alikua anampaint kwa uma kama threat kwenye usalama wa maisha yake ndani ya chadema,

zaidi ya hapo pia,
mvaa bullet proof vest,
alijaribu kumchafua mwamba hadharani kwamba anaweza hata kumpoisone kwenye food, na kwahivyo haendi tena kumanga msosi kwake,

kumbuka,
huyo kibaraka tangu atue bongo aliku ana manga msosi free kwa huyo mwamba ambae kwenye uchaguzi alidai ni mtu mbaya sana kiasi cha kumvalia bullet proof
 
Haman unafikir wowote, viongozi kibao marekani wanavaa, matajiri kibao wanavaa? Nao wanafiki?

Huna point bro, halaf we na wale wenzio wengine ndio mliouwa mnapiga vita asichaguliwe, sasa kachaguliwa mnatafuta minor issues

Grow up nigga
 
Haman unafikir wowote, viongozi kibao marekani wanavaa, matajiri kibao wanavaa? Nao wanafiki?

Huna point bro, halaf we na wale wenzio wengine ndio mliouwa mnapiga vita asichaguliwe, sasa kachaguliwa mnatafuta minor issues

Grow up nigga
kwahiyo hapa tunajadili mambo ya marekani gentleman?

au tunajadili kuchaguliwa na kutokuchaguliwa?

mbona unahamisha magoli kirahisi hivyo?

anyway,
nilisha declare mapema kwamba samahani kwa maswali magumu dhidi ya usalama wa mvaa bullet proof pale chadema hq
 
Mbona mambo ya uchaguzi wa Chadema ulikwisha pita, wahusika wanaendelea na mambo mengine wewe bado haukubaliani na huo uchaguzi! Nenda kauzuie mahakamani.
 
Tundu Lissu na Chadema yake ni WAIGIZAJI.....
 
Mbona mambo ya uchaguzi wa Chadema ulikwisha pita, wahusika wanaendelea na mambo mengine wewe bado haukubaliani na huo uchaguzi! Nenda kauzuie mahakamani.
acha upotoshaji gentleman,
nazungumzia bullet proof vest,

kazi yake iliisha lini kwani?
 
ni muhimu tu kujiridhisha kwamba kulikoni bullet proof vest haivaliwi tena?

na nina alikua kitishao cha usalawa wa wavaa bullet proof pale chadema hq?

na vipi hali ya usalama kwa sasa gentleaman?
Kwanza niweke wazi mimi si mpenz au mfuasi wa chama chochote cha siasa, siipendi CCM wala CDM, mimi nina fikra huru na ukiwa huru kufikiri na kutoa mtazamo wako huru huwezi kudumu ktk hivi vyama, ukiongea utaonekana wewe ni CDM au CCM... Ila napenda sana siasa naifuatilia kwa ukaribu sana kwasababu ndio maisha...

CDM walitumia nguvu kubwa sana ktk uchaguz wa uenyekit, Mbowe alitumia ushawishi wake binafsi ndani ya chama kupiga kampen zake... Lissu alitumia nguvu kubwa ya kejeri dhihaka vijembe na kuhadaa umma kwamba Mbowe ni mbaya fisadi na mbadhilifu ndani ya chama...
Lissu alivaa bullet proof kupata kiki ili azingatiwe na kusikilizwa chochote atakacho ongea... Mbowe kama angekuwa amejiandaa na uchaguz kama lissu na team yake walivyojiandaa chini chini, trust me Mbowe angeshinda uchaguz kwa 80% mchana kweupe...
Hivyo basi mbwembwe zote alizotumia lissu japo hazikuwa na afya kwa CHADEMA baada ya uchaguz zimemsaidia kupata uenyekit lakini hazita msaidia kuendesha chama na atapata wakati mgumu sana... Nguv au silaha za kampen ziliyotumika zilifaa kupigana na CCM sio wao kwa wao... Ndiyo maana Mbowe alisisitiza uchaguz umeisha Lissu na wenzake watumie busara na muda kukiponya chama...

πŸ˜‚πŸ€£ vipi tujadili zile faulo na bao la mkono la juzi kati pale jijini kwa wagogo, Msoga akawapiga chenga sukuma gang akaweka mpira kwapani akampa bi mdashi afunge penati bila kipa... Wajumbe wakabaki wameshangaa goli limefungwa na mpira umeisha..?
Aaaaah weeee hii mbaya tusiijadili kwasasa πŸ˜‚

Siasa tamu sana
 
Kinga ni bora kuliko Tiba
 
Mkuu kitisho cha utekaji nacho kimepungua sana baada ya uchaguzi! Pia hakuna sheria iliyo vunjwa.
 
Mkuu wewe ndiye unayepotosha watu, kwa taarifa yako Magufuli aliwahi kuiva akiwa ziarani Mtwara alikuwa ametishiwa na nani ukizingatia ulinzi aliokuwa nao!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…