Bullet proof vest ilivaliwa ili kumchafua mtu moja tu ndani ya CHADEMA ili aonekane ni kitisho kwa wengine na mbaya kwenye chama na jamii kwa ujumla

Bullet proof vest ilivaliwa ili kumchafua mtu moja tu ndani ya CHADEMA ili aonekane ni kitisho kwa wengine na mbaya kwenye chama na jamii kwa ujumla

Hapakua na kitisho cha usalama kwa mTanzania yeyote wakati wa uchaguzi wa chadema Taifa, bali ilikua ni drama ya kutafuta kiki, huruma kwa jamii na na baadhi ya viongozi wagombea kujaribu kuwapaint baadhi ya viongozi waandamizi ndani ya chadema, kwamba ni watu tishio, wenye nia na mipango ovu dhidi ya maisha na uhai wa wengine ndani ya chama chao.

Kulikoni sasa,
baada ya uchaguzi wa chadema kwisha, hakuna kitisho cha kiusalama kwa mTanzania yeyote, wala hakuna tuhuma wala mipango ovu ya utekaji, na wala hakuna anavaa bullet proof vest?

Imekuaje tena bullet proof vest haivaliwi, wakati ilifanyiwa hadi press conference, kwa makelele na mdomo sana?

Serikali sikivu ya CCM ilisingiziwa kila aina ya uovu wa ndani ya chadema. Haya sasa mbona songombingo na ngojera za utekaji kimya baada ya uchaguzi wa chadema kwisha?
Bilashaka, ni wazi sasa tatizo lilikua ndani ya chadema yenyewe.

Ndugu zangu wadau,
zile sarakasi za wanachadema kupotea kila wakati wa uchaguzi wao wa ndani haikua drama miongoni mwao wenyewe na kusingizia wengine?

Wataalamu wa bobevu wa masuala ya kisiasa nchini,
tulisema kwamba katika uongozi uliopo kazi kubwa na ya maana sana itakayofanyika ni vikao vya kufukuzana uanachama, press conference za mikwara ya umbwa koko, vitisho vya maandamano na matamko yasiyo na kichwa wala maskio,

Wanachama wengi muhimu watajiengua chadema kujitenga na uongozi wa juu usioaminika na ulioghubikwa na unafiki wa kiwango cha juu sana 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Sisiyemu oyeeee
 
Mnakuaga na vihoja vya kipunguani sana.
Gentleman,
kama huna mawazo mapya na fikra mbadala dhidi ya hoja mahususi mezani unakaa kimya tu,

kuliko kumbwelambwela na mihemko na makasiriko yasiyo na maana 🐒
 
Kama kuna kitu kinawanyima usingizi maCCM ni Tundu Antipasi Mugwai Lissu! He is an unstoppable force!
 
Kulikuwa na kitisho cha usalama maana watanzania walikuwa wanatekwa halafu samia hachukui hatua zozote kukomesha utekaji wa raia wake.Yawezekana mbowe alikuwa anakula njama na samia ili wampige tena risasi.
 
Nadhani muhusika alisema amepewa taarifa kuna wasiojulikana wanataka wammalize halafu wamsingizie FAM kwasababu ya uchaguzi.
Na kwasababu alishawahi jaribiwa kuuawa hakuchukulia pouwa akajihami na uchaguzi umeisha.
Sasa wasiojulikana watakosa wakumsingizia itajulikana ni wao tu.

Kundi linalotaka TAL afe yeye mwenyewe TAL alishasema ni akina nani kwanini tuanze kuhisi wakati muhusika alishataja mpaka pengine kwa majina.
 
Mun


Muda wowote mtu yeyote anavaa anavyotaka ili mradi havunji sheria!
Gentleman,
bullet proof vest kwenye uchaguzi wa chadema ilivaliwa kwa press conference, makelele na mbwembwe nyingi sana,

na mvaa bullet proof vest akaenda mbali zaidi na kusema haindi tena kumanga msosi na pilau kule alikokua anafadhiliwa msosi,

so,
acha upotoshaji gentleman 🐒
 
Nadhani muhusika alisema amepewa taarifa kuna wasiojulikana wanataka wammalize halafu wamsingizie FAM kwasababu ya uchaguzi.
Na kwasababu alishawahi jaribiwa kuuawa hakuchukulia pouwa akajihami na uchaguzi umeisha.
Sasa wasiojulikana watakosa wakumsingizia itajulikana ni wao tu.

Kundi linalotaka TAL afe yeye mwenyewe TAL alishasema ni akina nani kwanini tuanze kuhisi wakati muhusika alishataja mpaka pengine kwa majina.
Gentleman,
Pamoja na hilo,
aliapa hataenda tena kumanga msosi kwa huyo anae dai atasingiziwa?

kwanini avae bullet proof vest halafu aseme haindi tena kumanga msosi nyumbani kwa chairman wa zamani?🐒
 
Gentleman,
bullet proof vest kwenye uchaguzi wa chadema ilivaliwa kwa press conference, makelele na mbwembwe nyingi sana,

na mvaa bullet proof vest akaenda mbali zaidi na kusema haindi tena kumanga msosi na pilau kule alikokua anafadhiliwa msosi,

so,
acha upotoshaji gentleman 🐒
Kama una majibu haya why bothering? Kelele za mtu mwingine zilikukwaza? Ukakosa ucngzi au ugali? Hata mbwembwe ukiona si unapuuza tu? Mbona kulikuwa na mijimbwembwe kule dodoma majuzi, ya wasanii dunia nzima wazee kina kimbisa hadi bongofleva na hamna mtu alijali wote walipuuza tu? Ukiona havikuhusu gentleman achana navyo tu fanya mengine! Life is full of choices
 
Kulikuwa na kitisho cha usalama maana watanzania walikuwa wanatekwa halafu samia hachukui hatua zozote kukomesha utekaji wa raia wake.Yawezekana mbowe alikuwa anakula njama na samia ili wampige tena risasi.
na mbona baada ya uchaguzi tu hakuna kitisho cha usalama tena ndani ya chadema? Kwahiyo bullet proof vest haina kazi tena right?🐒

Kama kuna kitu kinawanyima usingizi maCCM ni Tundu Antipasi Mugwai Lissu! He is an unstoppable force!

sure,
muungwana ana mdomo, makelele na kubwekabweka mno, na CCM haitaki makelele yake gentleman 🐒
 
Kama una majibu haya why bothering? Kelele za mtu mwingine zilikukwaza? Ukakosa ucngzi au ugali? Hata mbwembwe ukiona si unapuuza tu? Mbona kulikuwa na mijimbwembwe kule dodoma majuzi, ya wasanii dunia nzima wazee kina kimbisa hadi bongofleva na hamna mtu alijali wote walipuuza tu? Ukiona havikuhusu gentleman achana navyo tu fanya mengine! Life is full of choices
unafiki usipokemewa unakua ukweli gentleman,

relax tu,
kama huna point ya kwanini bullet proof vest haivaliwi tena saivi na ilivaliwa tu kwenye uchaguzi wa chadema, kaa kimya tu na itapendeza zaidi gentleman 🐒
 
unafiki usipokemewa unakua ukweli gentleman,

relax tu,
kama huna point ya kwanini bullet proof vest haivaliwi tena saivi na ilivaliwa tu kwenye uchaguzi wa chadema, kaa kimya tu na itapendeza zaidi gentleman 🐒
Itavaliwa tu kukiwa na uhitaji wala usihofu fanya yako, usimdistruct mwenyekiti yupo busy kuunda mifumo ya uendeshaji wa taasisi na alishasema internet warriors wala hawamshughulishi!
 
Itavaliwa tu kukiwa na uhitaji wala usihofu fanya yako, usimdistruct mwenyekiti yupo busy kuunda mifumo ya uendeshaji wa taasisi na alishasema internet warriors wala hawamshughulishi!
kwanini isitangazwe tu kwa wagombea uongozi wote wa chadema nyakati za uchaguzi wa ndani ya chama chao wawe wanavaa bullet proof vest kwasabb ya kitisho cha usalama miongoni mwao wenyewe?

kwanini walisingiziwa wasio husika na chadema hali ya kuwa ni wazi tatizo lipo ndani ya chadema yenyewe?🐒
 
Hapakua na kitisho cha usalama kwa mTanzania yeyote wakati wa uchaguzi wa chadema Taifa, bali ilikua ni drama ya kutafuta kiki, huruma kwa jamii na na baadhi ya viongozi wagombea kujaribu kuwapaint baadhi ya viongozi waandamizi ndani ya chadema, kwamba ni watu tishio, wenye nia na mipango ovu dhidi ya maisha na uhai wa wengine ndani ya chama chao.

Kulikoni sasa,
baada ya uchaguzi wa chadema kwisha, hakuna kitisho cha kiusalama kwa mTanzania yeyote, wala hakuna tuhuma wala mipango ovu ya utekaji, na wala hakuna anavaa bullet proof vest?

Imekuaje tena bullet proof vest haivaliwi, wakati ilifanyiwa hadi press conference, kwa makelele na mdomo sana?

Serikali sikivu ya CCM ilisingiziwa kila aina ya uovu wa ndani ya chadema. Haya sasa mbona songombingo na ngojera za utekaji kimya baada ya uchaguzi wa chadema kwisha?
Bilashaka, ni wazi sasa tatizo lilikua ndani ya chadema yenyewe.

Ndugu zangu wadau,
zile sarakasi za wanachadema kupotea kila wakati wa uchaguzi wao wa ndani haikua drama miongoni mwao wenyewe na kusingizia wengine?

Wataalamu wa bobevu wa masuala ya kisiasa nchini,
tulisema kwamba katika uongozi uliopo kazi kubwa na ya maana sana itakayofanyika ni vikao vya kufukuzana uanachama, press conference za mikwara ya umbwa koko, vitisho vya maandamano na matamko yasiyo na kichwa wala maskio,

Wanachama wengi muhimu watajiengua chadema kujitenga na uongozi wa juu usioaminika na ulioghubikwa na unafiki wa kiwango cha juu sana 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Mbona wewe mleta hii habari ndiyo mchonganishi?
 
Back
Top Bottom