Bullet proof vest ilivaliwa ili kumchafua mtu moja tu ndani ya CHADEMA ili aonekane ni kitisho kwa wengine na mbaya kwenye chama na jamii kwa ujumla

Bullet proof vest ilivaliwa ili kumchafua mtu moja tu ndani ya CHADEMA ili aonekane ni kitisho kwa wengine na mbaya kwenye chama na jamii kwa ujumla

kwanini isitangazwe tu kwa wagombea uongozi wote wa chadema nyakati za uchaguzi wa ndani ya chama chao wawe wanavaa bullet proof vest kwasabb ya kitisho cha usalama miongoni mwao wenyewe?

kwanini walisingiziwa wasio husika na chadema hali ya kuwa ni wazi tatizo lipo ndani ya chadema yenyewe?🐒
Kukiwa na uhitaji mbona itatangazwa tu? Una mashaka gentleman? Kukiwa na hali ya hatari ni hulka ya binadamu kuchukua tahadhari tu, so huwezi kubeba tochi wakati jua limewaka ila usiku unachukua tu hata km taa zimewaka kwa tahadhari
 
Mbona wewe mleta hii habari ndiyo mchonganishi?
si kweli gentleman,
kutaka kufahamu ukweli sio uchonganishi ni namna ya kujiridhisha tu kwamba kitisho cha kiusalama kwa aliekua ana vaa bullet proof vest kulikua ndani ya chadema yenyewe, ila alikua akisingizia Taasisi za nje ya chadema 🐒
 
si kweli gentleman,
kutaka kufahamu ukweli sio uchonganishi ni namna ya kujiridhisha tu kwamba kitisho cha kiusalama kwa aliekua ana vaa bullet proof vest kulikua ndani ya chadema yenyewe, ila alikua akisingizia Taasisi za nje ya chadema 🐒
Kwani kitisho cha dodoma unafikiri amesahau.
 
Hapakuwa na kitisho cha usalama kwa mTanzania yeyote wakati wa uchaguzi wa CHADEMA Taifa, bali ilikuwa ni drama ya kutafuta kiki, huruma kwa jamii na na baadhi ya viongozi wagombea kujaribu kuwapaint baadhi ya viongozi waandamizi ndani ya CHADEMA, kwamba ni watu tishio, wenye nia na mipango ovu dhidi ya maisha na uhai wa wengine ndani ya chama chao.

Kulikoni sasa baada ya uchaguzi wa CHADEMA kwisha, hakuna kitisho cha kiusalama kwa mTanzania yeyote, wala hakuna tuhuma wala mipango ovu ya utekaji, na wala hakuna anavaa bullet proof vest?

Imekuaje tena bullet proof vest haivaliwi, wakati ilifanyiwa hadi press conference, kwa makelele na mdomo sana?

Serikali sikivu ya CCM ilisingiziwa kila aina ya uovu wa ndani ya CHADEMA. Haya sasa mbona songombingo na ngojera za utekaji kimya baada ya uchaguzi wa CHADEMA kwisha? Bila shaka, ni wazi sasa tatizo lilikua ndani ya CHADEMA yenyewe.

Pia soma > Tundu Lissu arudisha fomu makao makuu ya CHADEMA akiwa amevaa bulletproof. Hii ina maana gani?

Ndugu zangu wadau,
zile sarakasi za wanachadema kupotea kila wakati wa uchaguzi wao wa ndani haikua drama miongoni mwao wenyewe na kusingizia wengine?

Wataalamu wa bobevu wa masuala ya kisiasa nchini,
tulisema kwamba katika uongozi uliopo kazi kubwa na ya maana sana itakayofanyika ni vikao vya kufukuzana uanachama, press conference za mikwara ya umbwa koko, vitisho vya maandamano na matamko yasiyo na kichwa wala maskio,

Wanachama wengi muhimu watajiengua CHADEMA kujitenga na uongozi wa juu usioaminika na ulioghubikwa na unafiki wa kiwango cha juu sana 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Wajinga zaidi yako wamefanya Sana huu uhuni mpaka wamechoka lkn hawajabadilisha chochote. Wewe mjinga ahueni huwezi kubadili chochote.
 
Kukiwa na uhitaji mbona itatangazwa tu? Una mashaka gentleman? Kukiwa na hali ya hatari ni hulka ya binadamu kuchukua tahadhari tu, so huwezi kubeba tochi wakati jua limewaka ila usiku unachukua tu hata km taa zimewaka kwa tahadhari
ndio,
nina mashaka kwamba mvaa bullet proof vest alilenga kumpaint kiongozi wa chadema aonekane ndio tishio kwa usalama wake huku akisingizia kwa unafiki Taasisi za nje ya chadema 🐒
 
Hapakuwa na kitisho cha usalama kwa mTanzania yeyote wakati wa uchaguzi wa CHADEMA Taifa, bali ilikuwa ni drama ya kutafuta kiki, huruma kwa jamii na na baadhi ya viongozi wagombea kujaribu kuwapaint baadhi ya viongozi waandamizi ndani ya CHADEMA, kwamba ni watu tishio, wenye nia na mipango ovu dhidi ya maisha na uhai wa wengine ndani ya chama chao.

Kulikoni sasa baada ya uchaguzi wa CHADEMA kwisha, hakuna kitisho cha kiusalama kwa mTanzania yeyote, wala hakuna tuhuma wala mipango ovu ya utekaji, na wala hakuna anavaa bullet proof vest?

Imekuaje tena bullet proof vest haivaliwi, wakati ilifanyiwa hadi press conference, kwa makelele na mdomo sana?

Serikali sikivu ya CCM ilisingiziwa kila aina ya uovu wa ndani ya CHADEMA. Haya sasa mbona songombingo na ngojera za utekaji kimya baada ya uchaguzi wa CHADEMA kwisha? Bila shaka, ni wazi sasa tatizo lilikua ndani ya CHADEMA yenyewe.

Pia soma > Tundu Lissu arudisha fomu makao makuu ya CHADEMA akiwa amevaa bulletproof. Hii ina maana gani?

Ndugu zangu wadau,
zile sarakasi za wanachadema kupotea kila wakati wa uchaguzi wao wa ndani haikua drama miongoni mwao wenyewe na kusingizia wengine?

Wataalamu wa bobevu wa masuala ya kisiasa nchini,
tulisema kwamba katika uongozi uliopo kazi kubwa na ya maana sana itakayofanyika ni vikao vya kufukuzana uanachama, press conference za mikwara ya umbwa koko, vitisho vya maandamano na matamko yasiyo na kichwa wala maskio,

Wanachama wengi muhimu watajiengua CHADEMA kujitenga na uongozi wa juu usioaminika na ulioghubikwa na unafiki wa kiwango cha juu sana 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
CHADEMA imepoteza mvuto na uelekeo
 
Wajinga zaidi yako wamefanya Sana huu uhuni mpaka wamechoka lkn hawajabadilisha chochote. Wewe mjinga ahueni huwezi kubadili chochote.
relax gentleman,
huna haja ya mihemko wala makasiriko ikiwa huna point 🐒
 
Hapakuwa na kitisho cha usalama kwa mTanzania yeyote wakati wa uchaguzi wa CHADEMA Taifa, bali ilikuwa ni drama ya kutafuta kiki, huruma kwa jamii na na baadhi ya viongozi wagombea kujaribu kuwapaint baadhi ya viongozi waandamizi ndani ya CHADEMA, kwamba ni watu tishio, wenye nia na mipango ovu dhidi ya maisha na uhai wa wengine ndani ya chama chao.

Kulikoni sasa baada ya uchaguzi wa CHADEMA kwisha, hakuna kitisho cha kiusalama kwa mTanzania yeyote, wala hakuna tuhuma wala mipango ovu ya utekaji, na wala hakuna anavaa bullet proof vest?

Imekuaje tena bullet proof vest haivaliwi, wakati ilifanyiwa hadi press conference, kwa makelele na mdomo sana?

Serikali sikivu ya CCM ilisingiziwa kila aina ya uovu wa ndani ya CHADEMA. Haya sasa mbona songombingo na ngojera za utekaji kimya baada ya uchaguzi wa CHADEMA kwisha? Bila shaka, ni wazi sasa tatizo lilikua ndani ya CHADEMA yenyewe.

Pia soma > Tundu Lissu arudisha fomu makao makuu ya CHADEMA akiwa amevaa bulletproof. Hii ina maana gani?

Ndugu zangu wadau,
zile sarakasi za wanachadema kupotea kila wakati wa uchaguzi wao wa ndani haikua drama miongoni mwao wenyewe na kusingizia wengine?

Wataalamu wa bobevu wa masuala ya kisiasa nchini,
tulisema kwamba katika uongozi uliopo kazi kubwa na ya maana sana itakayofanyika ni vikao vya kufukuzana uanachama, press conference za mikwara ya umbwa koko, vitisho vya maandamano na matamko yasiyo na kichwa wala maskio,

Wanachama wengi muhimu watajiengua CHADEMA kujitenga na uongozi wa juu usioaminika na ulioghubikwa na unafiki wa kiwango cha juu sana 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Ukijifungua mimmba ya Lissu tutapumzika kwa nyuzi za kijinga
 
Kulikuwa na kitisho cha usalama maana watanzania walikuwa wanatekwa halafu samia hachukui hatua zozote kukomesha utekaji wa raia wake.Yawezekana mbowe alikuwa anakula njama na samia ili wampige tena risasi.
bilashaka umethibitisha mwenyewe mambo hayoo yalikua yakifanyika ndani ya chadema nyakati za uchaguzi wake wa ndani, right?
na kwahivyo chadema inafaa kutangazwa kama kikundi cha utekaji.
kwanini mabo hayo hakuna tena baada ya uchaguzi wao wa ndani kwisha kwisha? :NoGodNo:
 
nazungumzia kuvaliwa bullet proof vest gentleman,

nataka kujiridhisha tu kwamba uchaguzi wa ndani ya chadema ulikua na kitisho cha usalama kwa mgombea uongozi moja right?

nani alikua kitisho kwa mwingine?

vip hali ya usalama kwa sasa ndani ya chadema?🐒
Muhusika alisema anavaa bullet proff kwa ajili ya mtu fulani au umekuja na assumption nyepesi nyepesi?

Dude unaspend muda mwingi kutunga story za insta, nenda kwa wenyewe uliza upate facts

Your stories dont add up
 
Ukinifungua mimmba ya Lissu tutapumzika kwa nyuzi za kijinga
gentleman,
mihemko na makasiriko yasiyo na tija, huku ukiwa umefikia ukomo wa mawazo mapya na fikra mbadala dhidi ya hoja mahususi mezani ni ushirikina tu kama uchawi vile,

bora urilax tu kimyaaaa kuliko kumbwelambwela:pedroP:
 
Muhusika alisema anavaa bullet proff kwa ajili ya mtu fulani au umekuja na assumption nyepesi nyepesi?

Dude unaspend muda mwingi kutunga story za insta, nenda kwa wenyewe uliza upate facts

Your stories dont add up
je,
huyo mtu yupo au hayupo pale chadema?

maana bullet proof vest ilikua ikivaliwa kuelekea chadema hq pekee kana kwamba pale ndipo palikua eneo hatari zaid gentleman:pedroP:
 
gentleman,
mihemko na makasiriko yasiyo na tija, huku ukiwa umefikia ukomo wa mawazo mapya na fikra mbadala dhidi ya hoja mahususi mezani ni ushirikina tu kama uchawi vile,

bora urilax tu kimyaaaa kuliko kumbwelambwela:pedroP:
Qewe una mawazo gani zaidi ya kutetea tumbo lako na kuwapiga wanaotishia ulaji wenu ccm?
Mlitamani Mbowe kibaraka wenu aendelee ili mtawale kwa amani lkn sasa laja msiompenda.

Mmwjaribu kumuua hola, mmezuia asi haguliwe holaa.

Sasa anakuja kuwakeketta


Wajinger nyie
 
Chadema mna weweseka
CCM mnahaingaika
Bora anayehaingaika atajipata kuliko anayeweweseka asipoangalia anafia usingizini
ni muhimu tu kujiridhisha kwamba kulikoni bullet proof vest haivaliwi tena?

na nina alikua kitishao cha usalawa wa wavaa bullet proof pale chadema hq?

na vipi hali ya usalama kwa sasa gentleaman?:pedroP:
 
Back
Top Bottom