Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 2,203
- 5,610
Mbunge wa Jimbo la Bumbuli, January Makamba ameshiriki kupiga kura ya kuchagua Viongozi katika uchaguzi wa Serikali za mitaa, Vitongoji na Vijiji katika kituo cha Kwevizelu Kata ya Mahezangulu Mkoani Tanga leo Novemba 27,2024.
PIA SOMA
- LGE2024 - January Makamba: CCM tunajivunia na sera nzuri na viongozi wanakubalika