mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Hii Timu inasikitisha huo uwanja una historia
Hapamlipi, yupo kimaslahi zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapamlipi, yupo kimaslahi zaidi
Zile pesa zetu za kujenga uwanja mmpya zipo kwa nani au zimehamishiwa kwenye ubuyu?Hapo kaunda?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
hivi JISIEM ana mpango gani na hapo
Zile pesa zetu za kujenga uwanja mmpya zipo kwa nani au zimehamishiwa kwenye ubuyu?
Alipewa mama j. Kamuulize aliziweka wapi.Zile pesa zetu za kujenga uwanja mmpya zipo kwa nani au zimehamishiwa kwenye ubuyu?
Yaani hao watu wote hapo wanamshangaa ng'ombe?
YANGA sio tu tunataenda CAF...tunaenda kuchukua ubingwa wa CAFNilijua utaweka picha ya ng'ombe mwenye kideri unamuweka bumbuli yanga mnafanya nchi ionekane haina viongozi ila mungu akipenda mwakani tunaenda wote CAF tutaona jeuri zenu.
Labda ubingwa wa u mama j na u kabwiliYANGA sio tu tunataenda CAF...tunaenda kuchukua ubingwa wa CAF