Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Bulaya alishatimuliwa ChademaKongole kwa Bulaya
Ninyi mna Tume ya Uchaguzi lakini Zero Wafuasi.Wapumbavu nyie
CCM ipo sana na Itadumu sana
Mna wafuasi Million 15 wap nyie kenge
Mbowe alikuloga
Hata kama Mbowe ni Mchawi , anawezaje kuiloga Chadema Digital ? kwamba Bundi wake kaingia kwenye kwenye kompyuta ?Wapumbavu nyie
CCM ipo sana na Itadumu sana
Mna wafuasi Million 15 wap nyie kenge
Mbowe alikuloga
nadhani chanzo cha mkwamo wenu ni kupanga mipango bar. Mikakati makini hupangwa mahali makini.Chama Kikuu cha siasa Nchini Tanzania (CHADEMA) , Huko Bunda mjini kimekutana na wanachama wake kwa ajili ya kupanga mikakati mipya ya kuifuta ccm kwenye eneo hilo .
Chadema yenye Wanachama hai zaidi ya mil 15 nchi nzima ( kwa Mujibu wa Chadema Digital ) huku ikiwa na mamilioni ya Wafuasi , imedhamiria kuitokomeza kabisa ccm Bunda , lengo likiwa ni kubakisha DC , DED , OCD labda na viongozi wa ccm wa wilaya pekee , ambao inatajwa si rahisi kujitoa ccm kutokana na vyeo walivyonavyo kuwasaidia kujikimu.
Hivi ndivyo ilivyokuwa
View attachment 2822549View attachment 2822551View attachment 2822552View attachment 2822553
Hata kama Mbowe ni Mchawi , anawezaje kuiloga Chadema Digital ? kwamba Bundi wake kaingia kwenye kwenye kompyuta ?
CCM ina wanachama wa mashaka 8mil tu , huku 95% wakiwa viongozi na familia zao , zikiwemo na nyumba ndogoNinyi mna Tume ya Uchaguzi lakini Zero Wafuasi.
Usikariri Bulaya wako wengi Bunda 😄Bulaya alishatimuliwa Chadema
Mbona mimi nafahamika vizuri tu ! Njoo Kyela kijiji cha Kajunjumele , uliza tu yule mwanachadema mwenye jumba nzuri kuliko nyumba ya Mkuu wa wilaya , watakuleta hadi kwanguHiyo Idadi acha upuuzi
NBS wanapaswa wakukamate bahati yako unatumia ID Feki Ndg Tumaini Makene
Kama kweli wewe ni Kamanda jitangaze wewe ni Tumain Makene
Kupitia chama gani ?Kama kawaida mgombea Ubunge ni Ester Bulaya, hapo ndio utaona ugumu wa siasa za Tanzania.
Hata kama Mbowe ni Mchawi , anawezaje kuiloga Chadema Digital ? kwamba Bundi wake kaingia kwenye kwenye kompyuta ?
Haha haha Tumia ID yako basi wewe panya 🤣Mbona mimi nafahamika vizuri tu ! Njoo Kyela kijiji cha Kajunjumele , uliza tu yule mwanachadema mwenye jumba nzuri kuliko nyumba ya Mkuu wa wilaya , watakuleta hadi kwangu
japo mabwege wenzio wamejaribu sana kuniloga lakini Wamekwama , labda ujaribu wewe
Hiyo NB sasa !CCM siyo ya kuondoka leo, jipangeni kuongeza wabunge, madiwani, etc
NB: Sina chama
JF ina option 2 unachagua mwenyewe , ndio maana wewe unajiita Masawe lakini tunajua kwamba kwenu ni GeitaHiyo Idadi acha upuuzi
NBS wanapaswa wakukamate bahati yako unatumia ID Feki Ndg Tumaini Makene
Kama kweli wewe ni Kamanda jitangaze wewe ni
Haha haha Tumia ID yako basi wewe panya 🤣