Bunda: CHADEMA wakutana kupanga Mikakati ya kuifutilia mbali CCM kwenye eneo hilo

Bunda: CHADEMA wakutana kupanga Mikakati ya kuifutilia mbali CCM kwenye eneo hilo

Sura zenyewe zinaongea mengi zikionyesha ni watu waliojikatia Tamaa kabisa na hawana matumaini ya aina yoyote ile na Sacco's ya mbowe.hapo wamekuja kupoteza muda na kupiga porojo halafu kila mtu anajirudia nyumbani kuendelea na kazi zake.hii ni baada ya kugundua kuwa chama ni mradi wa familia kutafunia pesa halafu wao wanachukuliwa kama makasuku na manyumbu wa chama.
 
Sura zenyewe zinaongea mengi zikionyesha ni watu waliojikatia Tamaa kabisa na hawana matumaini ya aina yoyote ile na Sacco's ya mbowe.hapo wamekuja kupoteza muda na kupiga porojo halafu kila mtu anajirudia nyumbani kuendelea na kazi zake.hii ni baada ya kugundua kuwa chama ni mradi wa familia kutafunia pesa halafu wao wanachukuliwa kama makasuku na manyumbu wa chama.
Kama ni hivyo kinachokuliza nini ?
 
Hii ndo hudhihirisha kwamba CHADEMA kumejaa wapumbavu wengi!
Chama hakina organization wala wanachama wa kueleweka ktk ngazi mbalimbali lakini wakikutana kidogo tu utasikia utumbo kama huu wa kuifutilia CCM mbali!!
Jengeni taasisi imara inayoaminika na acheni siasa za upepo na matukio!
 
Chama Kikuu cha siasa Nchini Tanzania (CHADEMA) , Huko Bunda mjini kimekutana na wanachama wake kwa ajili ya kupanga mikakati mipya ya kuifuta ccm kwenye eneo hilo .
Haya ndiyo yanayotakiwa yawe yanatokea kila sehemu ndani ya nchi hii kwa wakati huu na kuendelea mbele.

Mikutano ya namna hii hata kama haipigi kelele sana za majukwaani, haihitaji matumizi makubwa sana ya raslimali, lakini matokeo yake ni ya muhimu zaidi.
Hata huko mitaani, shughuli hizi ndizo mpango mzima wa kuimaliza CCM kila mahali.

Natumaini huu ndio mwanzo wa shughuli za 2024 hadi 2025; bila kikomo.
 
Mbona mimi nafahamika vizuri tu ! Njoo Kyela kijiji cha Kajunjumele , uliza tu yule mwanachadema mwenye jumba nzuri kuliko nyumba ya Mkuu wa wilaya , watakuleta hadi kwangu

japo mabwege wenzio wamejaribu sana kuniloga lakini Wamekwama , labda ujaribu wewe
Mkuu nyumba nzuri Kyela kuelekea Kilwa kwa akina Koroso zinaishia Mikumi njia panda ya Kapwili.Kuanzia Kapwili,Kajunjumele Hadi Kilwa ni unapita mashamba ya mipunga,labda upite Barbara ya Ipyana ndo Kuna nyumba nzuri kidogo
 
Hivi ndivyo ilivyokuwa
Ukitaka kujua hali inayo watisha sana hao watani wako, hata humu jukwaani; soma wanayo andika kuhusu mada yako hii.

Hakuna jambo linalotishia zaidi ya hali hii huko ndani ya CCM. Ikiwa hivi nchi nzima utaona mchecheto utakaowashika huko.
 
Hii ndo hudhihirisha kwamba CHADEMA kumejaa wapumbavu wengi!
Chama hakina organization wala wanachama wa kueleweka ktk ngazi mbalimbali lakini wakikutana kidogo tu utasikia utumbo kama huu wa kuifutilia CCM mbali!!
Jengeni taasisi imara inayoaminika na acheni siasa za upepo na matukio!
Njia pekee ya kuimaliza ccm ni kuifutilia mbali kila mahali , Polisi ndio oganaizesheni ya ccm ?
 
Ukitaka kujua hali inayo watisha sana hao watani wako, hata humu jukwaani; soma wanayo andika kuhusu mada yako hii.

Hakuna jambo linalotishia zaidi ya hali hii huko ndani ya CCM. Ikiwa hivi nchi nzima utaona mchecheto utakaowashika huko.
Nawasoma sana , japo wako watatu tu wanabadisha id , Ni hivi , sisi tushaamua kuwafuta kila mahali wabaki na viongozi tu .
 
Nawasoma sana , japo wako watatu tu wanabadisha id , Ni hivi , sisi tushaamua kuwafuta kila mahali wabaki na viongozi tu .
Binafsi nitaridhika; hata kama szisomi au sisikii habari za kazi inayoendelea huko 'site' kimya kimya, na huku akina Mbowe wakiwa kama hawapo.
Kazi ni huko huko mitaani. Hili litabadili kila kitu.
 
Back
Top Bottom