Uchaguzi 2020 Bunda: Haijawahi kutokea Esther Bulaya avunja rekodi akusanya watu kwa maelfu,Wazee wa mji wasema niyeye tu Bunda Mjini Oct 25

Uchaguzi 2020 Bunda: Haijawahi kutokea Esther Bulaya avunja rekodi akusanya watu kwa maelfu,Wazee wa mji wasema niyeye tu Bunda Mjini Oct 25

Mkutano wa Mhe. Esther Bulaya Mbunge wa Bunda Mjini (Kiboko ya Wasira) akizungumza na Wananchi wa Jimbo lake hii leo.

Like Kama unamuelewa Komandoo wa Wasira.

Endeleeni kujidanganya kuwa upinzani umekufa sisi kwetu ni vitendo tu.
Screenshot_20200222-201605.jpeg


In God we Trust
 
Huyu binti ni jembe kweli kweli, ni mwanamke wa shoka, tena mimi najisikia very proud kum spot toka kitambo!, angalia tarehe ya bandiko hili

P
Safi sana, kudo kwake! Na hili linatokea hapa hapa Tanzania? Sasa mwingine atasema "upinzani unazuiliwa kufanya mikutano ya nje"...
Kila siku mnaimba CDM inakufa, kisa Mashinji kaenda CCM, leo wote mmebadilika, eti huyu binti ni jembe, mwingine kudos!, mkae mkijua CDM ina majembe wengi tu zaidi ya huyo, na hapo mmewabana kila siku kesi mahakamani, wakiwa huru kufanya siasa sijui mtajificha wapi!

Hiyo ni trela, Mbeya mjini, Arusha Mjini, Tunduma, Moshi mjini, Kawe na kwingine muziki ni huo huo, subirini mtaona...endeleeni kuota CDM inakufa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MBWA WEWE! NDIO MAANA UNA ONGEA ENGLISH YA KUUNGA UNGA. KAMA ENGLISH HAIPANDI TUMIA KISWAHILI UTAELEWEKA VIZURI TUU.

UNABOA KISHENZI HUWEZI KUJIBU HOJA BILA KUTU WEKEA MABANDIKO YAKO???? KWANZA MABANDIKO YAKO YANA BOA MBWA WEWE
Na wewe umeliona? Huyu bwana akiulizwa swali anarefer bandiko lake, akisifia ni kwa kurefer bandiko lake.
Anatabia ya kujiweka neutral wakati ukweli unajulikana yuko bias

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, kuna kituko kinaendelea hapa nchini huwezi amini. CCM itashinda tu sehemu nyingi sana.

Kila manispaa/halmashauri imeagizwa kuwaagiza wakuu wa shule za sekondari za serikali kuorodhesha wanafunzi wote wenye umri kuanzia 18 na wale watakaofikisha umri huo kabla ya Oct.
Orodha ioneshe taarifa zote muhimu za mpiga kura.

Kwa hiyo yawezekana kura zikapigwa mapemaa.
Tuangalie kura zetu tutazilindaje.
Kama wanafunzi watakuwa likizo inamaana wataingiza kula kutoka kusikojulikana?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu binti ni jembe kweli kweli, ni mwanamke wa shoka, tena mimi najisikia very proud kum spot toka kitambo!, angalia tarehe ya bandiko hili

P
Hapa ndipo jamaa anaumwa tumbo la kuharisha hataki mikutano ya hadhara
Maana wao wana somba kwa malori tena kwa kuwalipa pesa.. Magu itamfanya aweke mpira kwapani...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkutano wa Mhe. Esther Bulaya Mbunge wa Bunda Mjini (Kiboko ya Wasira) akizungumza na Wananchi wa Jimbo lake hii leo.

Like Kama unamuelewa Komandoo wa Wasira.

Endeleeni kujidanganya kuwa upinzani umekufa sisi kwetu ni vitendo tu. View attachment 1366576

In God we Trust
Duh.. !, sii mchezo!.
Huyu binti toka longi ni mwanamke wa shoka

Ila pia usidanganywe na makundi ya watu.

P
 
Mkutano wa Mhe. Esther Bulaya Mbunge wa Bunda Mjini (Kiboko ya Wasira) akizungumza na Wananchi wa Jimbo lake hii leo.

Like Kama unamuelewa Komandoo wa Wasira.

Endeleeni kujidanganya kuwa upinzani umekufa sisi kwetu ni vitendo tu. View attachment 1366576

In God we Trust
Siku atakaporejea CCM mtuwekee tena hizi picha!
 
Back
Top Bottom