Uchaguzi 2020 Bunda: Haijawahi kutokea Esther Bulaya avunja rekodi akusanya watu kwa maelfu,Wazee wa mji wasema niyeye tu Bunda Mjini Oct 25

Mkutano wa Mhe. Esther Bulaya Mbunge wa Bunda Mjini (Kiboko ya Wasira) akizungumza na Wananchi wa Jimbo lake hii leo.

Like Kama unamuelewa Komandoo wa Wasira.

Endeleeni kujidanganya kuwa upinzani umekufa sisi kwetu ni vitendo tu.

In God we Trust
 
Safi sana, kudo kwake! Na hili linatokea hapa hapa Tanzania? Sasa mwingine atasema "upinzani unazuiliwa kufanya mikutano ya nje"...
Kila siku mnaimba CDM inakufa, kisa Mashinji kaenda CCM, leo wote mmebadilika, eti huyu binti ni jembe, mwingine kudos!, mkae mkijua CDM ina majembe wengi tu zaidi ya huyo, na hapo mmewabana kila siku kesi mahakamani, wakiwa huru kufanya siasa sijui mtajificha wapi!

Hiyo ni trela, Mbeya mjini, Arusha Mjini, Tunduma, Moshi mjini, Kawe na kwingine muziki ni huo huo, subirini mtaona...endeleeni kuota CDM inakufa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushahidi kukuwekea mimi utasubiri sana ila muda ukifika utauona ushahidi kwa vitendo.
Hizo ndizo tunasema ramli chonganishi ! JF is a platform for great thinkers plz ! Give us a clue of what you are propagating!
 
MBWA WEWE! NDIO MAANA UNA ONGEA ENGLISH YA KUUNGA UNGA. KAMA ENGLISH HAIPANDI TUMIA KISWAHILI UTAELEWEKA VIZURI TUU.

UNABOA KISHENZI HUWEZI KUJIBU HOJA BILA KUTU WEKEA MABANDIKO YAKO???? KWANZA MABANDIKO YAKO YANA BOA MBWA WEWE
Na wewe umeliona? Huyu bwana akiulizwa swali anarefer bandiko lake, akisifia ni kwa kurefer bandiko lake.
Anatabia ya kujiweka neutral wakati ukweli unajulikana yuko bias

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo maana jiwe hataki kuwasikia wapinzani maana anajua amsha amsha yake ni kiboko

Anachosahau ni kuwa amewajaza watu wenye upinzani mioyoni mwao KIU ya kutaka kusikia mawazo ya upande wa pili.
 
Kama wanafunzi watakuwa likizo inamaana wataingiza kula kutoka kusikojulikana?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa ndipo jamaa anaumwa tumbo la kuharisha hataki mikutano ya hadhara
Maana wao wana somba kwa malori tena kwa kuwalipa pesa.. Magu itamfanya aweke mpira kwapani...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh.. !, sii mchezo!.
Huyu binti toka longi ni mwanamke wa shoka

Ila pia usidanganywe na makundi ya watu.

P
 
Siku atakaporejea CCM mtuwekee tena hizi picha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…