kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 6,716
- 12,116
mimi nilikuwa shabiki na mwanachama wa yanga lakini LUNYAMILA alipoacha kucheza mpira mimi nilihamia ulaya poleni simba nimesikia mnaitwa wa MATOPENI so sad
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mjinga niniMashabiki wa simba lazima waelewe kuwa mafanikio hayaji siku moja na kujenga timu ya ushindani si kazi rahisi, siyo mchezaji amekosea kidogo tuu nyie mnafukuza!
hujitambuihao sio wanachama ni wapambe tu wanachama wanakutana kwenye vikao
Mpira sio Simba wala timu gani; mpira wa tanzania ni ligi zote zinazochezwa chini ya usimamizi wa TFF. Kama migogoro haitatuliwi hatuwezi kupiga hatua.Hahah! Mikia bana eti wakiharibu wamatopen wanasema mpira wa bongo kwan mpira wa bongo ndio simba ?