mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,707
Huyu kingwangala ndio walewale tu, mbona zile nyingi 51% haziulizi, aende akazinunue yeyeHakika nimeshangazwa na Hamis Kigwangalla kuanzisha Mjadala wa Bil 20 za Mo kwenye Mitandao ya Jamii.
Bado ameendelea kusema katumwa na Baadhi ya Wajumbe wa Bodi Eti Ahoji. Najiuliza kwanini iwe sasa wakati suala hili lina Miaka 3 sasa.
Pili, kwanini asilipeleke Ofisi za Simba na pia Hao Wajumbe wa Bodi waliomtuma mbona wanaingia kwenye Vikao vya Simba na Mo akiwemo kwanini hawamhoji?
Huyu Kigwangalla ana Mchango gani kwa Klabu? Kwanini haulizii na Zile hisa 51 za Wanachama? Viongozi na Wanachama Wapinga Maendeleo na Mafanikio wameanza kazi; kuweni Makini na kina Kigwangalla.
Kwanini aulize kwenye mitandao asiende Ofisini ?Amini Kigwagwala Kahoji kitu ambacho wengi walitamani kuhoji, Kigwa ni prominent figure na Minister ivo kitendo cha kuhoji tu kime draw attention ndio mana Mo amemjibu, Mo ni mjanja mjanja fulani
Hakika nimeshangazwa na Hamis Kigwangalla kuanzisha Mjadala wa Bil 20 za Mo kwenye Mitandao ya Jamii.
Bado ameendelea kusema katumwa na Baadhi ya Wajumbe wa Bodi Eti Ahoji. Najiuliza kwanini iwe sasa wakati suala hili lina Miaka 3 sasa.
Pili, kwanini asilipeleke Ofisi za Simba na pia Hao Wajumbe wa Bodi waliomtuma mbona wanaingia kwenye Vikao vya Simba na Mo akiwemo kwanini hawamhoji?
Huyu Kigwangalla ana Mchango gani kwa Klabu? Kwanini haulizii na Zile hisa 51 za Wanachama? Viongozi na Wanachama Wapinga Maendeleo na Mafanikio wameanza kazi; kuweni Makini na kina Kigwangalla.
Ndiyo mfumo wa utawala wa ccm wa kupora wafanya biashara.Mawaziri wa Magu wanatesa sana wafanyabiashara kwenye hizi kampeni zao, wanalazimisha wafanyabiashara wawakopeshe/wawachangie hela wakati watu wamepitia miaka5 migumu sana katika biashara zao. Na wakikataliwa wanaweka bifu.
Cha ajabu rais halioni hili, au kama analiona basi analifumbia macho.