mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,707
Hakika nimeshangazwa na Hamis Kigwangalla kuanzisha Mjadala wa Bil 20 za Mo kwenye Mitandao ya Jamii.
Bado ameendelea kusema katumwa na Baadhi ya Wajumbe wa Bodi Eti Ahoji. Najiuliza kwanini iwe sasa wakati suala hili lina Miaka 3 sasa.
Pili, kwanini asilipeleke Ofisi za Simba na pia Hao Wajumbe wa Bodi waliomtuma mbona wanaingia kwenye Vikao vya Simba na Mo akiwemo kwanini hawamhoji?
Huyu Kigwangalla ana Mchango gani kwa Klabu? Kwanini haulizii na Zile hisa 51 za Wanachama? Viongozi na Wanachama Wapinga Maendeleo na Mafanikio wameanza kazi; kuweni Makini na kina Kigwangalla.
Bado ameendelea kusema katumwa na Baadhi ya Wajumbe wa Bodi Eti Ahoji. Najiuliza kwanini iwe sasa wakati suala hili lina Miaka 3 sasa.
Pili, kwanini asilipeleke Ofisi za Simba na pia Hao Wajumbe wa Bodi waliomtuma mbona wanaingia kwenye Vikao vya Simba na Mo akiwemo kwanini hawamhoji?
Huyu Kigwangalla ana Mchango gani kwa Klabu? Kwanini haulizii na Zile hisa 51 za Wanachama? Viongozi na Wanachama Wapinga Maendeleo na Mafanikio wameanza kazi; kuweni Makini na kina Kigwangalla.