Bundi Nyumbani Kwangu

Bundi Nyumbani Kwangu

Mara ya kwanza kumuona bundi akiwa amekaa au ame chill kwenye fisher board nyumbani ndio ilikuwa mara ya kwanza kumshuhudia bundi kwa macho. Siku hii ilikuwa mchana mapema

Toka nimuone bundi nyumbani kwangu hii imekuwa ni mara ya nne nashuhudia bundi katika maeneo haya.

Cha kushangaza bundi wote wanne ni wa rangi tofauti. Bundi niliyemuona leo mda huu naandika ana rangi ya njano usoni

Bundi niliyemuona last time alikuwa mweupe ana madoa meusi mwili mzima

Bundi niliyemuona kabla ya huyu alikuwa na rangi nyingi

Imekuwa kero kwangu kuona bundi, maeneo ya Dar -Manzese, tena wakiwa wa rangi tofauti. Kuna jamii ya bundi kiasi gani maeneo haya mpaka wanakuwa wengi kiasi hiki

Mwisho, hawajawahi kulia hawa bundi. Wananyatia tu, Je napenda kuuliza hali hii ni ya kawaida?
Kawaida sana.
 
"ame chill kwenye fisher board"! Kinekhe ngosha! Sasa haya mambati mapilipili na masamaki yakhe?
Acha ujinga. Nyumba yangu ya mbele ya wapangaji ana chil kwenye PVC sijavisha bado

Anyway HMV, nina santuri zake. .
 
Mara ya kwanza kumuona bundi akiwa amekaa au ame chill kwenye fisher board nyumbani ndio ilikuwa mara ya kwanza kumshuhudia bundi kwa macho. Siku hii ilikuwa mchana mapema

Toka nimuone bundi nyumbani kwangu hii imekuwa ni mara ya nne nashuhudia bundi katika maeneo haya.

Cha kushangaza bundi wote wanne ni wa rangi tofauti. Bundi niliyemuona leo mda huu naandika ana rangi ya njano usoni

Bundi niliyemuona last time alikuwa mweupe ana madoa meusi mwili mzima

Bundi niliyemuona kabla ya huyu alikuwa na rangi nyingi

Imekuwa kero kwangu kuona bundi, maeneo ya Dar -Manzese, tena wakiwa wa rangi tofauti. Kuna jamii ya bundi kiasi gani maeneo haya mpaka wanakuwa wengi kiasi hiki

Mwisho, hawajawahi kulia hawa bundi. Wananyatia tu, Je napenda kuuliza hali hii ni ya kawaida?
Si yalifukuzwaga kwenye lile li mbati li SGR kule Morogoro.
 
Tulikuwa tunaumwa familia nzima mimi, mke na watoto. Ila bundi wameanza kuja kabla ya kuumwa

Hii ni pattern flani nawaona. Shida ni kuwa wana rangi tofauti ,hakuna bundi anayefanania mwenzake
Mkuu jitahidi sana kuepuka hofu, hao viumbe wapo na wanapaswa kuishi kama unavyo ishi wewe na familia yako. Delete fikira mbaya na mawazo mabaya uliyosikia na kuhadithiwa kuhusu bundi na imani nyingine potofu.
 
Bundi ni ndege anaye Fanya shughuli zake usiku. Hufuata panya na viumbe wengine Kwa ajili ya chakula chao na hupendelea kuvizia wikiwa juu ya nyumba. Macho ya bundi yana uwezo wa Kuona usiku. Bundi hutumia sauti au mlio wake Kwa ajili ya kuwasiliana na wenzie, bundi wapo wenye rangi tofauti , tujifunze kutambua tabia za bundi na viumbe wengine Ili kuondokana na Imani potofu
 
Bundi ni ndege anaye Fanya shughuli zake usiku. Hufuata panya na viumbe wengine Kwa ajili ya chakula chao na hupendelea kuvizia wikiwa juu ya nyumba. Macho ya bundi yana uwezo wa Kuona usiku. Bundi hutumia sauti au mlio wake Kwa ajili ya kuwasiliana na wenzie, bundi wapo wenye rangi tofauti , tujifunze kutambua tabia za bundi na viumbe wengine Ili kuondokana na Imani potofu
Alisimama kwenye dish la azam anachungulia durishani chumbani kwangu. Sikuwa nimelala nilichoona mwanzo ni reflection ya taa, ana sura imekaa kama ❤️ . Ananiangalia kwa kunichunguza

Nimeona nilete uzi kwa sababu nimeshtuka jinsi alivyokuwa ananitazama
 
Mara ya kwanza kumuona bundi akiwa amekaa au ame chill kwenye fisher board nyumbani ndio ilikuwa mara ya kwanza kumshuhudia bundi kwa macho. Siku hii ilikuwa mchana mapema

Toka nimuone bundi nyumbani kwangu hii imekuwa ni mara ya nne nashuhudia bundi katika maeneo haya.

Cha kushangaza bundi wote wanne ni wa rangi tofauti. Bundi niliyemuona leo mda huu naandika ana rangi ya njano usoni

Bundi niliyemuona last time alikuwa mweupe ana madoa meusi mwili mzima

Bundi niliyemuona kabla ya huyu alikuwa na rangi nyingi

Imekuwa kero kwangu kuona bundi, maeneo ya Dar -Manzese, tena wakiwa wa rangi tofauti. Kuna jamii ya bundi kiasi gani maeneo haya mpaka wanakuwa wengi kiasi hiki

Mwisho, hawajawahi kulia hawa bundi. Wananyatia tu, Je napenda kuuliza hali hii ni ya kawaida?
Hupendi Bundi!? Kwenye kipindi changu cha DSTV huwa nawatumia sana kujua tabia za wanyama

"BUNDI hataki kusema ukweli kuwa analipwa mshahara mkubwa Serikalini na Malupulupu manono kila saa na siku nzima" - Muda wote ni Kazi ya Bundi tu
Au tuanze kwenye hizo kazi za Bundi wanahitaji watu wa aina/tabia gani kufanya nae kazi sana sana!?
👑 Upole au Ukali
👑 Ukarimu au Ukatili
👑 Muoga au Jasiri
👑Wanaocheka au Wanaonuna
👑 Wenye Ndugu au Wasio na Ndugu
👑Wenye Fedha au Masikini
👑WafanyaBiashara au Wafanyakazi
👑 Uvivu au Uchapakazi
👑 Kufuata utaratibu uliopo au Kufuata utaratibu utakaokuja
👑Wafugaji au Wakulima
👑Wanaopenda Dini au Wapagani
👑Wanaopenda Starehe au Wasiopenda Starehe
👑Wabunifu au Wasio wabunifu
👑Wasomi au wasiosoma
Hivyo yaani
Yesu ulipigwa sijui walilidhika na ukweli uliowapa

images (3).jpeg
 
Bundi ni ndege wa kawaida tu baadhi ya maeneo wanaliwa. Inaonekana nyumbani kwako ni sehemu tulivu sana mchana kunakuwa hakuna watu ndio sababu wanapatikana hapo.

Lakini pia itategemea aina ya paa ulilonalo. Kuna yale mapaa yenye ventilators huwa bundi wanatengeneza makazi huko. Hivyo kama nyumbani kuna utulivu mchana tegemea kuwaona kwa muda mchana. Hakuna la ajabu hapo.
 
Kuna mtu au mnyama anakaribia kufa kama sio kwako nyumbani za majirani

Bundi ana uwezo wa kunusa na kujua seli zinazokaribia kufa za mnyama au binadamu
 
Hapo kwako kuna panya wengi au Kuna sehemu Ina mazingira wanayo penda bundi kuweka makazi hasa kwenye dari au kuna miti au magofu.
Hawana madhara.
 
Back
Top Bottom