Bunduki haitoshi

Ndugu zangu wana jf,mi kiukweli nataka nipate bunduki kubwa na ndefu, maana kwa nguvu kako fresh.
Nimejaribu kutumia dawa za kimasai na nyingine lakini haibadiliki.
Mwenye kujua dawa yenyewe naomba anipe maelekezo ama adress niweze fanikia.

Ni-PM nikupatie mzigo, kadri utakavyoona inafaa. Ila kaa tayari kudharirika umri ukisonga mbele kidogo. Nguvu ya kuushikilia mzigo inaweza kupungua ikawa shida tena. Mimi mzigo wangu niliukadiria vizuri na nilimuuliza bibie kama unamtosha kabla sijatumia dawa. Karibu!
 
Ridhika na bundiki yako achana na bunduki za kichina, anaglia wenzake waliotafuta silaha zingine za kutegea wanyama. Ziliwazidi uwezo!
 
Ha ha haaa umiacha hoi vita ni vita ilimradi ushindi!! ngoja nikuulize kwanza uliyeomba msaada una soksi zenye elastic nzuri tukupe dawa? ila suala la kuvaa kaptura halitakuwepo tena zako zitakuwa suruali tu.
sio lazima kutumia bunduki peke yake,kama haitoshi tumia nyenzo nyengine kama mkuki,jambia mweeh :A S 13::A S 13:
 
huu ushauri wa roselyne1 akichanganya na aina ya mwondoko wakati wa kuwinda hakika
atamgalagaza myama

sio lazima kutumia bunduki peke yake,kama haitoshi tumia nyenzo nyengine kama mkuki,jambia mweeh :A S 13::A S 13:
 
Ndugu zangu wana jf,mi kiukweli nataka nipate bunduki kubwa na ndefu, maana kwa nguvu kako fresh.
Nimejaribu kutumia dawa za kimasai na nyingine lakini haibadiliki.
Mwenye kujua dawa yenyewe naomba anipe maelekezo ama adress niweze fanikia.





Ni PM nikupe ujuzi wa kuitumia bunduki yako na hata kama ni ndogo kama upele itatosha tu,ridhika na ulichojaaliwa na mwenyezi,we unataka limzigo kwani unaenda kupanda punda??
 
nonsense.....poteleeni mbali huko.
 
*Walah acha nibaki na kipenseli chaaaaaaanguu...!!Wachina watatuuwa,pikipiki/bajaji zinamaliza watu na dawa zinawalemaza watu jumlaaa...dooooh,huko siiiikoo!!!
 
We bora ukae na kibastola chako kuliko kutaka bunduki unaweza ua hata tembo ukilenga sehemu husika, hivi tembo akilengwa jicho hafi?
 
Kata kipande cha mti wa mbuyu changanya na mavi pamoja na mkojo wa mtu mwenye bunduki kubwa alafu kula kutwa mara tatu kwa muda wa wiki moja
 
hacheni mzaa wengine ni vibamia na nusu pencil! uku2mia bunduki lazima anaye2mia nawe lazima ukizamisha aseme husinitoe kzaz!
 
Uwe unakula ndizi kisukari tano kilasiku na Tikiti lote bila kubakisha hata kipeke kwa muda wa miezi mitatu, utakuwa kama unavotaka.
 
Dah kwa hapa pagumu...Ridhika na Mungu alivyokuumba tu
 
Mmh, hii kadhia nayo imeongezeka, kila kona ya Dar mganga wa kuongeza ukubwa wa pua.

Jamani ukubwa wa pua si wingi wa kamasi lol
 
Habari yako bwana b52, hebu tumsaidie kijana mwenzetu kwa hali na mali ili awe na Gobole kabisa, naona ana SMG...

Sasa ukimpa gobore atakuwa anatoa risasi moja tuu! Si itakuwa balaa?
 
kaka ungefafanua kidogo iko size ngapi sai na wataka iwe saizi ngapi baadae ila kama vipi tafuta mnyama utakae weza muua na iyo bunduki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…