Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 620
- 1,240
๐๐๐ป๐ฑ๐๐ธ๐ถ ๐ต๐ฎ๐๐ฎ๐ฟ๐ถ ๐๐น๐ถ๐บ๐๐ฒ๐ป๐ด๐๐ป๐ถ
Bunduki hatari ulimwenguni ni Ak 47 ambayo iligunduliwa miaka ya nyuma na mtu mmoja kutoka nchi ya urusi anaitwa Mikhail Kalashnikov.
Wanasema Uvumbuzi ni kitu kizuri ulimwenguni haswa kwenye historia ya binadamu lakini baadhi ya vitu ambavyo vinavumbuliwa vinakua ni hatari Tena kwa watu.
Moja kati ya bunduki yenye kuleta madhara kutokana na Uvumbuzi wake mpaka Leo ni Ak- 47 ambayo maafa yake yalimpelekea mtu aliyegundua kuweza kujutia kwanini amegundua hiyo bunduki ya Ak 47 kwenye maisha yake.
Iligunduliwa mwaka 1947 na kuanzia kutumika 1948. AK 47 kirefu chake ni Automatic Kalashnikov 1947 lengo kubwa ni kutumika kipindi cha vita ya pili ya Dunia dhidi ya ujerumani.
walikua wanahitaji bunduki ambayo inaweza kufyatua risasi Moja Moja pia kwa wingi kwa haraka.
โข Mikhail alifanikiwa kutengeneza hii bunduki kwani inatumika kwenye mazingira yoyote Yale magumu au rahisi kuanzia kwenye joto, baridi Kali , ukame au mvua.
Ni bunduki ambayo imesambaa ulimwenguni kote kutokana na nchi ya umoja wa kisovyeti kuweza kutoa kibali nchi nyingi kuandaa.
Sifa zake kwa ufupi tu ๐
๐ Inatumia risasi zenye ukubwa wa 7.62ร 39mm
๐ Urefu wa mtutu wa Ak ni 415mm
๐ Ina uzito wa 3.26 au 4 kilogramu
๐ Kwenye magazine inapakia risasi 30 ๐ซ
๐ Unaweza kupiga mpaka umbali wa kufikia mita 800 huku effective range yake ya mtoko wa risasi ni mita 400 effective range kabisa.
Imegawanyika sehemu kuu Tatu kitako cha bunduki , mwili wa bunduki pamoja na mtutu wa bunduki.
Ulikua unajua hii? Tuachie maoni yako ๐
#AK47 #Bunduki #Fahamu #fahamuzaidi #bongotech255
Bunduki hatari ulimwenguni ni Ak 47 ambayo iligunduliwa miaka ya nyuma na mtu mmoja kutoka nchi ya urusi anaitwa Mikhail Kalashnikov.
Wanasema Uvumbuzi ni kitu kizuri ulimwenguni haswa kwenye historia ya binadamu lakini baadhi ya vitu ambavyo vinavumbuliwa vinakua ni hatari Tena kwa watu.
Moja kati ya bunduki yenye kuleta madhara kutokana na Uvumbuzi wake mpaka Leo ni Ak- 47 ambayo maafa yake yalimpelekea mtu aliyegundua kuweza kujutia kwanini amegundua hiyo bunduki ya Ak 47 kwenye maisha yake.
Iligunduliwa mwaka 1947 na kuanzia kutumika 1948. AK 47 kirefu chake ni Automatic Kalashnikov 1947 lengo kubwa ni kutumika kipindi cha vita ya pili ya Dunia dhidi ya ujerumani.
walikua wanahitaji bunduki ambayo inaweza kufyatua risasi Moja Moja pia kwa wingi kwa haraka.
โข Mikhail alifanikiwa kutengeneza hii bunduki kwani inatumika kwenye mazingira yoyote Yale magumu au rahisi kuanzia kwenye joto, baridi Kali , ukame au mvua.
Ni bunduki ambayo imesambaa ulimwenguni kote kutokana na nchi ya umoja wa kisovyeti kuweza kutoa kibali nchi nyingi kuandaa.
Sifa zake kwa ufupi tu ๐
๐ Inatumia risasi zenye ukubwa wa 7.62ร 39mm
๐ Urefu wa mtutu wa Ak ni 415mm
๐ Ina uzito wa 3.26 au 4 kilogramu
๐ Kwenye magazine inapakia risasi 30 ๐ซ
๐ Unaweza kupiga mpaka umbali wa kufikia mita 800 huku effective range yake ya mtoko wa risasi ni mita 400 effective range kabisa.
Imegawanyika sehemu kuu Tatu kitako cha bunduki , mwili wa bunduki pamoja na mtutu wa bunduki.
Ulikua unajua hii? Tuachie maoni yako ๐
#AK47 #Bunduki #Fahamu #fahamuzaidi #bongotech255