Bunduki hatari ulimwenguni

Bunduki zote kazi yake ni moja kuua hamna kazi tofauti kati ya Ak47 na LMG ila uwezo ndo tofauti
Sheria za vita zinabadilika mkuu ndiomana silaha nyingi zinazuiliwa kutumika vitani, kwasabu majeruhi wanatakiwa wazidi idadi ya vifo baada ya vita kuisha, kwahiyo sio kila bunduki inayoua itumike vitani.
 
Bunduki hatari zaidi ulimwenguni ni MDOMO/ULIMI.
Niulizeni ili nithibitishe dai langu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ