bunduki kusimama kila niamkapo asubuhi

bunduki kusimama kila niamkapo asubuhi

Ni dalili kuwa umebanwa na kojo..soo nenda kakojoe kisha koga wahi shuleni kuhesabu namba...ohhh am sorry kumbe unasoma st. Marrys...wahi school bus nenda shule kasomeeeee.
 
Kwa kidume ni kawaida mida hiyo mzigo unatengeneza kahema flan hivi kwenye bukta ila kama unaish uswaz choo kimoko wapangaji mia nane inabid uwe na moyo wa chuma kwenda maliwato asbh maana unaikuta foleni ya kutosha tu
 
aweke risasi kwa bastola ipi?...ya kichina kama ya nzee yuchufuuu..piga bastolaaa...risasi haitoki.

he he he he he he he he he sasa kama risasi haitoki hakuna haja ya kuwa na hiyo bastora sasa .....
 
Kwa kidume ni kawaida mida hiyo mzigo unatengeneza kahema flan hivi kwenye bukta ila kama unaish uswaz choo kimoko wapangaji mia nane inabid uwe na moyo wa chuma kwenda maliwato asbh maana unaikuta foleni ya kutosha tu

du sasa si inabidi anatulia rum kwanza mzuka ukishuka ndo anatoka au...??
 
Labda awe kula kulala utatulia rum wakat sa 11 inatakiwa ujiandae na mishe?

ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha kwani mashine si inalala baada ya muda bana au imelemaa yake inasimama masaa kibao bila kazi bana???
 
Ndio unakua aka balehe....usimwage mbegu hovyo ili wakulima wasikose mbegu za kupanda.
 
Back
Top Bottom