Uwege unachomoa magazine kabla ya kalala.
umebanwa na mkojowaungwa hii inaonyesha nini?
Ina hamu ya ku nani hii,njoo uhuku nikupe daa yake.
sasa akishaweka risasi??
aweke risasi kwa bastola ipi?...ya kichina kama ya nzee yuchufuuu..piga bastolaaa...risasi haitoki.
Kwa kidume ni kawaida mida hiyo mzigo unatengeneza kahema flan hivi kwenye bukta ila kama unaish uswaz choo kimoko wapangaji mia nane inabid uwe na moyo wa chuma kwenda maliwato asbh maana unaikuta foleni ya kutosha tu
Uwege unachomoa magazine kabla ya kalala.
du sasa si inabidi anatulia rum kwanza mzuka ukishuka ndo anatoka au...??
Labda awe kula kulala utatulia rum wakat sa 11 inatakiwa ujiandae na mishe?
hehehe ur funny dude!Ndiyo umeingia kwenye balehe. Yaani unaanza kuuona utu uzima.
Hakikisha unatumia kondom ukitaka kuingiza dudu yako kwa mwenzako wa kike. Sawa eh