Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Wanangu wana jamvi. Wamarekani ni watu wa ajabu sana. Wanasema kwenye nembo ya taifa lao IN GOD WE TRUST.
Ila kiukweli inapaswa iwe IN GUN WE TRUST. Wanapenda sana bunduki kiasi cha kumalizana wenyewe kwa wenyewe. Wanachukia ugaidi wa nje lakini wanafanyiana ugaidi wa ndani kwa kutumia bunduki. Hapa hujaongeza ubaguzi wa rangi. Marekani inahitaji msaada kuondokana na ugaidi wa bunduki na utegemezi wake ukiachia mbali mapenzi ya mitutu.
Kwa sasa, tishio la bunduki ni kubwa kuliko hata corona. Rais Biden ameliita hili janga au pandemic kwa taifa.
Afrika inapaswa itoe msaada kwa Marekani.
Ila kiukweli inapaswa iwe IN GUN WE TRUST. Wanapenda sana bunduki kiasi cha kumalizana wenyewe kwa wenyewe. Wanachukia ugaidi wa nje lakini wanafanyiana ugaidi wa ndani kwa kutumia bunduki. Hapa hujaongeza ubaguzi wa rangi. Marekani inahitaji msaada kuondokana na ugaidi wa bunduki na utegemezi wake ukiachia mbali mapenzi ya mitutu.
Kwa sasa, tishio la bunduki ni kubwa kuliko hata corona. Rais Biden ameliita hili janga au pandemic kwa taifa.
Afrika inapaswa itoe msaada kwa Marekani.