Bunge baada ya kuchokwa kwa muda mrefu wamekuja na kiki ya ku-trend


Hao wanafanya maigizo tu baada ya kushiba kodi zetu ss wameamua kutupumzikia ukiona wanakosoana wao kwa wao bac wanagombania maslai ila cio kuwawajibisha wabadhirifu mwisho wa ccm unakaribia tu ni suala la muda
 
Hata ukimjua waziri, Haram is Haram, let call a spade spade!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…