Bunge: CCM pekee ndiyo imewasilisha jina la Mgombea wa nafasi ya Naibu Spika

Kuna bunge hapo sasa?
 
Hawajisiki vibaya, madaraka yana tabia ya kulevya
 
-Vile vyama vya upinzani vilivyojitokeza katika uchaguzi wa speaker mbona hawakujitokeza tena?
Swali mujarabu!
Wale walio jitokeza kule ni vile vyama oandikizi, wasindijizaji wa Ccm.
Kule bungeni walioko ni bunge la Ccm wenyewe. Hivyo wameshindwa kuweka maoandikizi kwa vile naibu spika lazima awe mbunge.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…