Bunge jipya lina hali mbaya! Serikali itafanaje kuliokoa Bunge ili kuwa na Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni?

Jibu unalo ww mwenyewe juu ya point yako
 
Nilipenda sana makala na hoja zake zikigusa maeneo mengi. Leo ni upande mmoja tu kusifia.
Nikiona makala yake huwa nasoma tu kichwa naishia.
Mkuu Mzamifu, karibu katika makala hii, uangalie jinsi ninavyosifu!.
P
 
Hahaha tatizo liko wapi, anaweza kuwagawa hao wabonge wake wa kuteuliwa,nusu wawe wapinzani kisha wanaunda kambi rasmi, kwisha.

Hujawai kuona timu moja inajigawa mara mbili wanacheza mechi ya kirafiki?!

Wafanye hivyo.
 
Pascal bwana yaani Zitto ateuliwe na JPM?Mzee wa kupinga kila kitu,bora wengine maana vichwa vipo vingi tuu
 
Hoja ni nzuri katika mukhtadha wake,ila utekelezaji wake ni mgumu kutokana mbinu na mikakati iliyotumika kupata ushindi wa kimbunga.Wanamikakati wamezidisha mno ushindi wao kiasi cha kushtukiwa kuwa walifanya udanganyifu.Hizo nafasi kumi wakipewa wapinzani ili wakaunde kambi rasmi ya upinzani bungeni itapendeza zaidi.Hao waliotajwa kwa mtazamo wa kawaida ni ngumu,labda mbatia na sendiga,lakini wale miamba ni maajabu ya kisiasa kuteuliwa na kukubali uteuzi huo
 
Hakuna cha hoja nzuri hapa, nyie mulichafua uchaguzi na kuutia najisi na kujikwalia ushindi fake na kuihadaa dunia kwamba mmeshinda kwa kishondo na huku dunia nzima inajua mlichofanya, na zaidi ya yote mulikuwa tayari hata kuua ili tu mhakikishe mmepata kazi hizo za dhuruma.
Siasa mmeifanya ni ajira na ndo kinacho wasumbua,hamtumiki kwa masirahi ya taifa ila kwa ajiri ya matumbo yenu na familia zenu, kaene bungeni sasa peke yenu mjadili yote munayoweza na sisi watanzania tunawatazama na tutalipa kodi kama kawaida mfanye munayoyataka.Hata mkae mywe bia bungeni sisi hatusemi mana hatukuwachagua watu kama nyie, atasema aliewapeleka hapo kwa dhamira yake.
 
Mimi nakosa imani kabisa na bunge hili la kumi na mbili tunapoteza uimala wa muhimili huu muhimu katika nchi wapo wananchi wenye imani na upinzani kwa kiasi kikubwa kutokana na hoja za msingi na mchango wao katika maendeleo, kama tunataka kujenga umoja wa kitaifa jitihada za wakina zitto kabwe sio za kupuuzwa hata kidogo he done so much for us, kumbukeni maswala ya escrow, epa Richmond namna wapinzani walivopigania mali hizi za umma. Kukosa upinzani tunapoteza uwajibikaji na uwazi kwa kiasi kikubwa, the decision taken by taking into account deontological point of view by taking the action as the end and not the means but under teleological we have to consider the consequences of our actions to the public interest
 
Ccm wameshashinda, full stop. Hizi sarakasi za kutaka uwepo wa wapinzani bungeni ni danganya toto tu.

Kwani CCM walivyokuwa wanaiba kura hawakujua kuwa wapinzani walitakiwa wawepo bungeni?
 
Wajinga ndio waliwao!!!
 
Inamaana hufahamu au hujui kuwa chairman wako anaongea KILA dakika kuwa "upinzani unatucheleweshea maendeleo,msichague wapinzani sitaleta maendeleo"acha kujitoa UFAHAMU KAKA....LEO MNAWATAKA WAPINZANI WA NINI?

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…