Bunge la 12: Mkutano wa 11, kikao cha ishirini na tatu, Mei 11, 2023

Bunge la 12: Mkutano wa 11, kikao cha ishirini na tatu, Mei 11, 2023

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760


WAZIRI MKUU AMEZUIA MAPATO KUKOPESHWA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amezuia mapato ya mwezi Aprili, Mei na Juni ya Halmashauri zote nchini kutokopeshwa kwa wanawake, vijana na watu wenye ulemavu, mpaka pale utakapoandaliwa utaratibu mzuri.

WAZIRI MKUU AZUNGUMZIA UVUMI WA BAADHI YA NCHI KUFUNGA BALOZI
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa azungumzia ‘uvumi’ wa baadhi ya nchi kufunga balozi zao nchini Tanzania…ukiwemo Ubalozi wa Denmark. “…niwahakikishie kwamba mazungumzo bado yanaendele ili kufikia hatua nzuri…”
 
Back
Top Bottom