Bunge la Afrika Mashariki lakataa kutumia Kiswahili kwenye mijadala yake

Bunge la Afrika Mashariki lakataa kutumia Kiswahili kwenye mijadala yake

Hata sisi ambao ndio wenyeji wa lugha hiyo na ambayo mataifa mengi duniani wameikubali bado wenyewe hatutoi mfano kuizungumza kwa usahihi.

Akisimama mbunge hata mshamba mshamba aliyeingia bungeni kwa wizi wa kura basi atajidai kuchomekea maneno tele ya kiiengereza kama kwamba hakuna maneno yake kwa Kiswahili.

Magufuli alipokwenda Afrika kusini na kuwatia hamasa watumie Kiswahili bado mwenyewe alikuwa akizungumza kiengereza.
Hasa kabwana Husein Bashe,ndo zake sijui kanadhan watu wa singida wanakaelewa kanavyoleta ujuaji wa kingereza bungeni
 
Kwani Kiingereza kikiwa lugha ya kufundishia mashuleni ndo kiswahili kitakufa? Mbona nchi kibao wanatumia kiingereza kama lugha rasmi ya kiofisi lakini bado wana lugha zao local? Hakuna mtoto wa msomi, mfanyabiashara, mwanasiasa au kiongozi mkubwa wa dini anayesoma St Kayumba. Wote hao wanasomesha watoto wao kwenye shule zinazotumia kiingereza. Kwahiyo ukisema uwasikilize hizo propaganda zao itakula kwako na familia yako. Hakikisha mwanao anajuwa kiingereza fluent ikiwezekana na kifaransa
 
Collonial mentallity tu na kutopenda vya kwetu ns ushamba....mtu achape kiswahili watranslate kwa kiingereza..
 
Back
Top Bottom